Zitto: Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa simu “tutakushughulia labda usirudi". Nikajisemea lipi jipya watafanya?

"Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumuua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? Magufuli SIKUOGOPI aslani." - Zitto Kabwe.

Kumekucha Watz.
This time around Tanzania gonna be on Fire,Fire and Fire…!
 
WaTZ sisi ni mazwazwa malofa tusio na fikra huru, tunaendeshwa kwa mihemko.

Hii nchi ni yetu sote hakuna mwenye hatimiliki ya maisha ya mwingine na yeyote mwenye kutoa maoni bila kupindisha hasa kwa serikali iliyopewa nafasi ya kusimamia taratibu katiba za namna tutaishi kama watu huru hapaswi kunyooshewa kidole ni jambo LA kipekee na la Kishujaa.

Kilichofanywa na Zito na mpumbavu pekee atakayeona ni jambo lisilofaa kuna mengi sana hiii serikali inayafanya kakandamiza RAIA mwenye uthubutu was kupaza sauti dhidi ya maovu yake.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kichwa chako kibakie kufugia nywele tu lakini kwenye kufikiria haumo kabisa. Ni kama cha bata maji
 
Zitto anastahili mapokezi ya kishujaa. Ameonyesha uzalendo mkubwa kuuanika ukandamizaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini.
Upi ukiukwaji?

Kuzuia msiuze chanel 0?

Katika list za nchi zenye ukiukwajj wa haki za binadamu duniani,je Tanzania ni ya ngapi?

Hivi egypt,Libya au hapa Burundi nk?

Mbona hatusikii wakisemwa?

Kisa kukatalia mali zetu za asili?

Wasaliti tutawabana hapa hapa.

Time will tell!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wa masikini ni akina nani hao? Wanaobebeshwa mimba wakidanganywa na "viongozi" na kuambiwa wakatoe mimba ili waendelee na masomo!? Au wale wanaodanganywa kwa kupewa "2000" ya chipsi na "wanazengo" ili watoe "mwili" wao na kisha kutelekezwa kwa kuwa hawawahitaji tena!?
Kama ni wewe kweli elewa katika wapuuz tz wewe ni namba 1. Pamoja na kwamba huna mtoto lakini uwe na huruna na watoto wa maskini.

+ imekutoa akili

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom