Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,795
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu magu atakuja kujuta we mwache tu."Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumuua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? Magufuli SIKUOGOPI aslani." - Zitto Kabwe.
Mpumbavu kama wewe nawe unajiita umma, labda wa kulia chips.Hahahahaaa Zitto umma umeshakupuuza..huna jipya zaidi ya umbea na habari za upatu..hopeless snitch
HAPO NDIO ENGLISH YAKO YA MWISHO KABISA. NENDA ENGLISH CLASS MAANA HATA SPELLING HUJUI
KIME NISAIDIA MNO.... KAZI ZANGU ZOTE ,BIASHARA ZANGU ZOTE NAFANYA NA WATU WANAO ONGEA ENGLISH PEKE YAKE. DAH KWA HIYO ENGLISH INANI SAIDIA SANA.Hebu niambie wewe unayejua kiingereza kimekusaidia nini? Kulalamika hovyo kila siku? Kwa kiingereza?
Si mpaka awe nayo, kuna kamasi tu kichwani humo.lisu alitunga ? tumia akili mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Si mpaka awe nayo, kuna kamasi tu kichwani humo.lisu alitunga ? tumia akili mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Zitto umewakamata vibaya sana nowa wanahaha, usilegeze uzi kaza zaidi ya hapo!"Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumuua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? Magufuli SIKUOGOPI aslani." - Zitto Kabwe.
tunga uone kama utaongezewa kutoka buku 7 iwe buku 10Atatunga mengi tu huyu mpuuzi.
Nimeshatunga na nimeshaongezewa toka buku saba hadi kumi. Una shida na hilo?
Umefanyiwa ukatili upi?
Kwahiyo haya mnayofanya yapuuzwe coz bado hatujaingia kwenye list, kenge kweli!Upi ukiukwaji?
Kuzuia msiuze chanel 0?
Katika list za nchi zenye ukiukwajj wa haki za binadamu duniani,je Tanzania ni ya ngapi?
Hivi egypt,Libya au hapa Burundi nk?
Mbona hatusikii wakisemwa?
Kisa kukatalia mali zetu za asili?
Wasaliti tutawabana hapa hapa.
Time will tell!
Sent using Jamii Forums mobile app
"Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumuua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? Magufuli SIKUOGOPI aslani." - Zitto Kabwe.
Rudisha na kabidhi pasipoti yetu haraka sana!