koboG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 2,484
- 4,393
Aya Kachukue buku7
Huyu jamaa ndiyo anajiharibia zaidi na huu ni mwaka wa uchaguzi
Huyu jamaa ndiyo anajiharibia zaidi na huu ni mwaka wa uchaguzi
Hapo Zitto alikurupuka. Ana uhakika gani kama Mh Dokta mwenye degree tatu John Magufuli Pombe anahusika na hiyo sms ?
Buku7 fc mtakufa Kwa njaa Safar hiiHahahahaaa Zitto umma umeshakupuuza..huna jipya zaidi ya umbea na habari za upatu..hopeless snitch
Hahahahaaa Zitto umma umeshakupuuza..huna jipya zaidi ya umbea na habari za upatu..hopeless snitch
Hapo Zitto alikurupuka. Ana uhakika gani kama Mh Dokta mwenye degree tatu John Magufuli Pombe anahusika na hiyo sms ?
Hata sijui.
Hapo Zitto alikurupuka. Ana uhakika gani kama Mh Dokta mwenye degree tatu John Magufuli Pombe anahusika na hiyo sms ?
Huyu jamaa ndiyo anajiharibia zaidi na huu ni mwaka wa uchaguzi
Unatafuta mileage naona. Zitto huna jopya acha misifa ya kijinga na liuso lako lilivyokukakamaa kama kinyago cha kujifunzia. Muuaji mkubwa. Watu watake kukudhulu wakujulishe?"Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumuua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? Magufuli SIKUOGOPI aslani." - Zitto Kabwe.
Kama ni wewe kweli elewa katika wapuuz tz wewe ni namba 1. Pamoja na kwamba huna mtoto lakini uwe na huruna na watoto wa maskini."Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumuua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? Magufuli SIKUOGOPI aslani." - Zitto Kabwe.