Iliwahi kuripotiwa kuhusu Manji kutaka kunyang'anywa hisa zake za umilki wa Tigo ambayo ilitaariwa aliinunua. Huku akiwa na kesi ya matumizi ya unga,kesi ya kuhujumu uchumi kisa nguo za jeshi na huku TRA wakimtaka kwa ajili ya kesi nyingine za mambo ya kodi,lingine njiani!!!
Kwa ujasiri huu na speed hii dhidi ya Manji iko kazi,ila naamini kabisa kama ni uzalendo basi serikali ingeitaifisha Airtel, kwa wafuatiliaji tu wakumbuke ilivyoota,Celtel ndani ya TTCL na management ya TTCL enzi za kina Mwandosya hadi kuja kuwa Zain na hatimae Airtel!!!!
Zitto: Manji anakomolewa, sasa anyang'anywa hisa zake za Tigo na Serikali
Kwa ujasiri huu na speed hii dhidi ya Manji iko kazi,ila naamini kabisa kama ni uzalendo basi serikali ingeitaifisha Airtel, kwa wafuatiliaji tu wakumbuke ilivyoota,Celtel ndani ya TTCL na management ya TTCL enzi za kina Mwandosya hadi kuja kuwa Zain na hatimae Airtel!!!!
Zitto: Manji anakomolewa, sasa anyang'anywa hisa zake za Tigo na Serikali