ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,018
- 7,222
Angekuwa na hizo busara angeomba msamaha lakini Zitto HAKUOMBA msamaha kwa kuwaita watanzania waliojiunga na Chama Cha Mapinduzi nchini UK kuwa ni wapuuzi.naona wewe una personal issues zako na zitto naona bora umpigie simu mmalizane usitubadilishie topic buree hapa tunaongelea yaliyojiri en not the past , sasa kama ulimwambia aombe msamaha kwa busara zake akaomba ndo unamwambia na leo aombe bungeni ukitarajia ataomba? mijitu mingine bwana inapenda kuota kwamba yana influence over other's life. It's just a dreeeeeeeeeeeeeam dude WAKE UUUUUUUUUUP
Kwa hiyo kama kafukuzwa kote huko kwa ajili ya kusimamia ukweli aache ili rekodi yake isionyeshe kafukuzwa sehemu nyingi?Cha msingi ni kuangalia what is at stake iwapo hataomba msamaha na iwapo ataomba.
Fanya hiyo analysis bila ushabiki utaona kuwa tabia ya Zitto ya kuongea maneno machafu imekithiri.
Zitto ameshawahi kuwaita wana CCM wa Uingereza kuwa ni wapuuzi humuhumu JF na kukatokea wana JF wakatetea kauli yake hiyo baada ya mimi kumwambia awaombe msamaha. Zitto akuomba msamaha kwa kauli yake hiyo.
Zitto amefukuzwa Sekondari, Chuo, Bungeni... Hivi kweli huku kote anaonewa???
hivi wabunge wa ccm wao kwao masilahi ya nchii hii ni yapiiiii???
wanaboa sana kwa tabia zao hizo za KINAFIKIIIIIII....
TUWAPUMZISHEEE JAMANIIII...
kusema neno hovyohovyo ndio kusema ukweli?
The fact is CCM wanaweza kuafford haya malumbano ya lugha etc. Zitto na upinzani wanatakiwa kuwa focused. Wao wanakuwa taken very easily out of serious discussions. Zitto kama ana agenda anataka kumove forward basi aombe msamaha aendelee kuimove hiyo agenda, ila kama yuko pale kwa mipasho basi andelee na mjadala wa lugha.
CCM wametengeneza bajeti, wanataka ipitishwe na zoezi zima la kupitisha lina deadline, kwa hiyo kadri muda mwingi unavyotumika kwenye mipasho ndio jinsi muda wa kujadilii contents za bajeti unakuwa mdogo.Kama Zitto kweli anakerwa na content ya bajeti basi afanye uchaguzi sahihi ASAP.
Angekuwa na hizo busara angeomba msamaha lakini Zitto HAKUOMBA msamaha kwa kuwaita watanzania waliojiunga na Chama Cha Mapinduzi nchini UK kuwa ni wapuuzi.
Nawe bana....! sasa aombe msamaha kwa sifa ambayo inawahusu hao jamaa.....Hivi wewe kwa mfano; kama ni mpumbavu...mtu akakwambia we mpumbavu amekosea?
Angeomba msamaha angekuwa mnafiki mkubwa!
lakini ukiangalia kiundani pia si Mudhihiri peke yake anayefanya hivi. Kuna kitu kikubwa sana kimejificha nyuma ya mabadiliko ya tabia za kuchangia hoja za wabunge wa ccm na siamini kuwa ni matokeo ya uchaguzi mkuu pekee, lazima kuna kitu kingine nyuma yake...Nyamungo!!
It's a long but as usual hakuna aliyefuatilia. Mara nyingi tunaridhika na porojo !
To be a great thinker you need to go the extra mile. TAFADHALI take some trouble tuangalie report ya Police kama ipo kwani its over two years!!! Tujiulize mwisho wa ile ajali uilkuwa kitu gani!!! What goes around comes around I have smelt a rat there is something fishy with the accident!!
Mudhihir amekaa kimya for 2 years!!! wakati uchaguzi uko around the corner ametema cheche kwa Swahiba (almost a brother in law wa JMK aka Matonya!!!) Iko namna!!
Jamii haijengwi kwa maneno kama ya zitto na wale wote wanaosupport ushambenga wake , haijengwi kwa maneno matupu na majina vivuli ya watu wenye ajenda za siri kwa nchi hii
Hahahahahhaha halafu akija mtaani? huu ushauri wako babu kubwa!!!!!!
Jamii haijengwi kwa maneno kama ya zitto na wale wote wanaosupport ushambenga wake , haijengwi kwa maneno matupu na majina vivuli ya watu wenye ajenda za siri kwa nchi hii
shy, leo mbona hivyo!? Kila mtu unam-crash. Embu tueleze jamii huwa inajengwa vipi? Au kwa maneno kama haya yaliyowahi tutolewa na waziri fulani wa fedha......wanzania hata majani mtakula lakini lazima ndege ya rais inunuliwe....
Jamii haijengwi kwa maneno kama ya zitto na wale wote wanaosupport ushambenga wake , haijengwi kwa maneno matupu na majina vivuli ya watu wenye ajenda za siri kwa nchi hii
Shy, why are you not shy in making irrelevant contributions?
JF members here are deliberating whether or not MPs have the right (and obligatio) to tell Ministers who give misleading answers to questions of national importance, that they are talking rot. If Zitto is to be made to shut up, because of telling them off, who will speak for us?
The topic in front of Parliament was about the misappropriation of billions of shillings by Government officials through Meremeta, Tangold, Deep Green and Kagoda companies. The Deputy Minister of Finance avoided answering the question and arrogantly told Hon Dr Slaa to 'cook up' another question.
If Tanzanians are to divert their attention from this vital issue and go into light talk on fights between Shy and Zitto, we won't go far in the fight versus grand corruption and general decadence of this country.
very sad indeed..Kilasara;
I think Shy is blinded or something by his/her personal conflicts with Mr. Zitto such that he can't any longer see and distinguish the good and bad from the MP....Very sad! He has a biased mind on Zitto really!