Zitto: Maisha yetu hatarini

Zitto: Maisha yetu hatarini

Drama za watu bana eti maisha yako hatarini,upumbaf mtupu,mtu adhamirie kabsa kukuondoa utachukua hata dakika tano kweli?.
 
siasa nyepesi sana hizi zinawisho wala hazichukui mda mrefu sana.
 
Kweli mkuu na huyu G'su atakuwa mhusika wa njama hizo sasa ajiandae kunyea debe segerea

Nipo mtaani ndugu kwa sasa nipo hapa hazina dodoma nimekaa na washikaji tunagonga juice huku tukifuatilia bunge baada ya hapo tukutane dodoma hotel kwa chakula cha mchana baadaye usiku tutakuwa maisha club na baadhi ya waheshimiwa wabunge wala hatuogopi tunajiamini lakini pia ukinitafuta kwa ubaya ujipange kweli kweli siyo mwepesi kama mzee slaa au mshumbushi naweza kukuaibisha mapema kabisa.
 
Drama za watu bana eti maisha yako hatarini,upumbaf mtupu,mtu adhamirie kabsa kukuondoa utachukua hata dakika tano kweli?.

Achilia mbali kumuondoa ata kumgusa kwa sasa haiwezekan,we jaribu uone utakavyotobolea tobolewa tumbo lako
 
Nipo mtaani ndugu kwa sasa nipo hapa hazina dodoma nimekaa na washikaji tunagonga juice huku tukifuatilia bunge baada ya hapo tukutane dodoma hotel kwa chakula cha mchana baadaye usiku tutakuwa maisha club na baadhi ya waheshimiwa wabunge wala hatuogopi tunajiamini lakini pia ukinitafuta kwa ubaya ujipange kweli kweli siyo mwepesi kama mzee slaa au mshumbushi naweza kukuaibisha mapema kabisa.

Asant mkuu mtoto akililia wembe mpe,so ujiandae kuupokea kwa mikono miwili
 
siasa nyepesi sana hizi zinawisho wala hazichukui mda mrefu sana.

Kumbuka sisi sio watanzania wenzako na hatupeleki mambo kiswahili,uliza viongozi wenu wanaokujaga huku watawaambia vzr sisi,mmekwisha kwa pa1 bingwa wangu
 
Hali zenu waungwana? Kwanza kabisa ningependa kuwataarifu kwamba tumeamua kuungana na wazalendo wote wanaopigania masilahi ya Taifa le2, km vile kina Zitto, Kafulila, wabunge na watanzania wenze2 waliojitolea kupambana na ufisad huu unaoendelea kuota mizizi nchi Tanzania. Mimi na waingereza wenzangu wenye asili ya Tanzania tunajua na kufuatilia mambo mengi yanayotokea nchi kwetu kwa zamani, ambayo yamekuwa yakiirudisha nchi nyuma kimaendeleo, wakati wenzetu wanasonga mbele, yamekua yakiangusha uchumi wa nchi, wakati wenzetu wakiinua uchumi wa nchi zao.

Sasa leo tumeamua kujitokeza rasmi na kusema tumechoka na wizi wa aina yoyote unaotokea nchini Tanzania. Mimi na wazalendo wenzangu tumeamua kuunda kikosi kazi chenye wataalam wa sheria kwa ajili ya kupambana na wanasheria na mahakimu uchwara wa bongo, wanaoishi kwa rushwa za watuhumiwa. Vile vile tuna hela ya kutosha kwa ajili ya kuwawekea ulinzi wa kutosha wale wote watakaosimama kidete kutetea masilahi ya wananchi na Taifa kwa ujumla, ktk hili la ulinzi tutatumia zaid polisi wa kimataifa kuwalinda ndugu zetu hawa kimya kimya bila mtu yeyote kuwatambua askar hao. Kwa hiyo watanzania tunaomba sapot yenu maana nyinyi ndio mnaotusukuma sisi kuchukua hatua hii ili kuwanusuru na hali mbaya ya maisha inayo7bishwa na hawa.

Maana sisi tushakuwa na uraia wa nchi nyingine, sasa wahusika wa mapambano haya zaidi na nyinyi.
Nawakilisha
Acha kuchekesha watu ndugu yangu. Wewe sio raia wa tanzania sasa mambo ya huku tuachie wenyewe
 
Acha kuchekesha watu ndugu yangu. Wewe sio raia wa tanzania sasa mambo ya huku tuachie wenyewe

Sio raia ila nina asili ya huko. Ngugu, wazazi na jamaa zangu nliowaacha huko wote ni watanzania. So kwahiyo haya mambo yananihusu na kwakuwa nina uwezo wa kusaidia kupambana nayo acha nisaidie nkishirikiana na wenzangu ambao na wao wana asili ya huko na wengine wazungu tu walioamua kuwa nyuma yetu ktk swala hili,cause linahusu Taifa na sio mtu m1 m1
 
nyie wapumbavu hebu tuelezeni mlitaka kumuua Mkono kwa nini? kwanini pia isiwezekane kwa akina Zitto?

Drama za watu bana eti maisha yako hatarini,upumbaf mtupu,mtu adhamirie kabsa kukuondoa utachukua hata dakika tano kweli?.

siasa nyepesi sana hizi zinawisho wala hazichukui mda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom