Zitto live radio clouds

Zitto live radio clouds

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,066
Reaction score
454
matangazo yanakatakata. nimemsikia anasema hatatoka chadema. amejiunga na chama akiwa na umri wa miaka 17.
 
Yaweza kuwa kahusika au hajahusika ila yampasa atoe ushahidi ili ajisafishe na tuhuma hzi kwa maana kila mtu anayo haki
 
mkumbo anamshangaa mwigulu hajawahi kumsifia hata siku moja lakini jana anamsikia anamsifia.
 
Aende na TBC ili asikike vizuri...mnafiki na msaliti mkubwa
 
Aende na radio uhuru ya magamba asikike vzr analeta umaarufu kwenye chama cha wanyonge? Cdm haina nafasi ya umaarufu bali kuwakomboa watz
 
Shwaini wote wanao shabikia upepo. Huu ni upepo tu na utapita. Nguvu kazi ya taifa mnaipoteza kuanzisha thread zinazzohusu zito. kila mara zito pfuuuuuuuu
 
Yaliyosemwa kwenye waraka wa siri yote ni kweli,swali linakuja kaandika zitto kweli?
Mbowe hana sifa ya kuwa pale na slaaa mwenyewe,namuunga mkono zittom kama kweli ripot imeeandikwa na yeye
 
Yaliyosemwa kwenye waraka wa siri yote ni kweli,swali linakuja kaandika zitto kweli?
Mbowe hana sifa ya kuwa pale na slaaa mwenyewe,namuunga mkono zittom kama kweli ripot imeeandikwa na yeye


Waraka nimeusoma neno mpaka neno na nukta mpaka nukta. Aliyoyasema ni ya ukweli mtupu kabisa kinachomfanya aonekane msaliti ni njia aliyopanga itumike kwenye kuleta hayo mabadiliko.ukweli unauma, ila Zito umebugi meen!
 
Back
Top Bottom