Dear Nd. Lampart,
Vipi huyo Nd. Zitto kapatikanwa kwa hio interview huko Ujerumani?
Wengi tungelipenda kuisoma hio interview iliyofanywa na Wagagagigikoko huko Ujerumani kama ilitokea.
Eh ndugu yangu we Ngida1!
Unataka na hapa ukumbini nifukuzwe?
Ukitaka habari za Wagagagigikoko basi nenda huko Wanabidii, Tanzanet au Zanzinet. Hapa ukimsema Mungu wetu (Zitto) basi na hio thread inapazwa!
Watu hapa wamefika mpaka kusema kuwa jamani hii serikali ya Kikwete ipinduliwe na jeshi na hakuna aliesema thread ifungwe isipokuwa BluRay peke yake. Leo kasemwa Mungu wetu Zitto kwasababu kamsifia Dr Rashid kwa akili yake mwenyewe thread imetolewa, ili watu wasahau kuwa hakuyasema hayo maneno na tupate kumrejea kumpenda Mungu wetu kama zamani!!!
Hapa hatumzungumzii Zitto. Tunazungumzia juu ya lini sisi Watanzania tutaamka? Tutaabudu wengine mpaka lini? Hata mtu tukimuona anataka kupata kichaa bado tunamuabudu tu???
Leo umecharuka siyo...!Watu mna visa na mikasa nani kasema Zitto ni mungu wetu??
Na kwa nini uishi kwa kuogopa ,unamaanisha hujiamini..
Kama hujiamini wewe mwenyewe nani atakuamini ....
kama enterview yako iko makini weka jamvini ijadiliwe acha bla bla mala ikaenda mala ikarudi ..Lampart mtu mzima hatishiwi nyau
Watu mna visa na mikasa nani kasema Zitto ni mungu wetu??
Na kwa nini uishi kwa kuogopa ,unamaanisha hujiamini..
Kama hujiamini wewe mwenyewe nani atakuamini ....
kama enterview yako iko makini weka jamvini ijadiliwe acha bla bla mala ikaenda mala ikarudi ..Lampart mtu mzima hatishiwi nyau
- Eunogh is eunogh, sasa Zitto aachwe apumzike!
Respect.
FMEs!
So far sidhani kama naona kosa la mods kuiondoa topic ile, mkishamweka kitimoto mkuu tufahamishe ili topic ile ionekane iliondolewa kwa ubaya. Vinginevyo hatuwezi kufanya Zitto, Kafulila na Sophia Simba watuondoe kwenye mijadala mingine...Mkuu, atapumzika akiacha siasa. Madamu yumo kwenye siasa basi hatuwezi kumuachia na kesho tukajakujuta kwa makosa kama yale ya nyuma!
Dear Nd. Lampart,
Vipi huyo Nd. Zitto kapatikanwa kwa hio interview huko Ujerumani?
Wengi tungelipenda kuisoma hio interview iliyofanywa na Wagagagigikoko huko Ujerumani kama ilitokea.
Mkuu, atapumzika akiacha siasa. Madamu yumo kwenye siasa basi hatuwezi kumuachia na kesho tukajakujuta kwa makosa kama yale ya nyuma!
So far sidhani kama naona kosa la mods kuiondoa topic ile, mkishamweka kitimoto mkuu tufahamishe ili topic ile ionekane iliondolewa kwa ubaya. Vinginevyo hatuwezi kufanya Zitto, Kafulila na Sophia Simba watuondoe kwenye mijadala mingine...
Kama unanisoma basi naamini utaweza kung'amua sababu ya mjadala huo vinginevyo jiulize mara ngapi Zitto anapigwa mawe humuhumu JF? (Mpaka amekaa kimya kwa muda ili hali itulie)
Fikiria mkuu wangu.... Karibu!
Umenena Lampart hapa jamvini ukmzunguzia Zitto utaona tread inavyotolewa fastaaaaaaaaaaaa ila ikiwa ni ya kusifia itakaa mda mrefu bwana tubadilike!!!!!!..... Habari ndo hiyoooo Usiweke iyo interview Lampart nakuunga asilimia 500Eh ndugu yangu we Ngida1!
Unataka na hapa ukumbini nifukuzwe?
Ukitaka habari za Wagagagigikoko basi nenda huko Wanabidii, Tanzanet au Zanzinet. Hapa ukimsema Mungu wetu (Zitto) basi na hio thread inapazwa!
Watu hapa wamefika mpaka kusema kuwa jamani hii serikali ya Kikwete ipinduliwe na jeshi na hakuna aliesema thread ifungwe isipokuwa BluRay peke yake. Leo kasemwa Mungu wetu Zitto kwasababu kamsifia Dr Rashid kwa akili yake mwenyewe thread imetolewa, ili watu wasahau kuwa hakuyasema hayo maneno na tupate kumrejea kumpenda Mungu wetu kama zamani!!!
Hapa hatumzungumzii Zitto. Tunazungumzia juu ya lini sisi Watanzania tutaamka? Tutaabudu wengine mpaka lini? Hata mtu tukimuona anataka kupata kichaa bado tunamuabudu tu???
Umenena Lampart hapa jamvini ukmzunguzia Zitto utaona tread inavyotolewa fastaaaaaaaaaaaa ila ikiwa ni ya kusifia itakaa mda mrefu bwana tubadilike!!!!!!..... Habari ndo hiyoooo Usiweke iyo interview Lampart nakuunga asilimia 500
Mkuu hio ni sawa, kwani democracy ni ngumu na kesho keshokutwa serikali ikipiga marufuku magazeti 2-3 tusije kulalamika. Ndio democracy yetu ilivyo.
Umenena Lampart hapa jamvini ukmzunguzia Zitto utaona tread inavyotolewa fastaaaaaaaaaaaa ila ikiwa ni ya kusifia itakaa mda mrefu bwana tubadilike!!!!!!..... Habari ndo hiyoooo Usiweke iyo interview Lampart nakuunga asilimia 500