Uchaguzi 2020 Zitto kuunguruma Mtwara leo

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
May 5, 2014
610
1,540
Kiongozi wa Chama, Ndugu Zitto Kabwe leo Septemba 18, 2020 atahutubia mkutano wa hadhara wa kampeni za mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtwara Mjini, Ndugu Hassan Uled.

Muda: Kuanzia Saa 8:00 hadi saa 12 jioni.

Mahali: Viwanja vya Mtaa wa Sinani.

Aidha Kiongozi wa Chama, Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kesho Septemba 19,2020 atahutubia mikutano miwili ya hadhara kama ifuatavyo:

- Saa 4:00 asubuhi atamnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Newala Mjini, Ndugu Mbaraka Chilumba.

Wapi: Viwanja vya Mahakamani, Newala Mjini.

Jumamosi hiyo hiyo saa
8:00 mchana kiongozi wa Chama atamnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Lulindi, Ndugu Jerome Dismas Bwanausi.

Wapi: Viwanja vya Chiungutwa.

Wote mnakaribishwa

Imetolewa na:
Arodia Peter
Afisa Habari ( ACT-Wazalendo).
Leo Septemba 18, 2020.
 
Lisu
Lema
Mnyika
Mbowe
Tundu Lissu et al

Hawa wanaweza jimbo lolote hapa nchini na wakashinda.

Usipime kina cha maji kwa ugoko
Basi mzee. Mnyika kakimbia jimbo kwa kuogopa aibu, Mbowe maji shingoni, Zitto maji shingoni- anategemea kutengeza channel za kupata ruzuku ya ACT tu kwa kupata wabunge Pemba na Lindi. Ni Lema tu ndiye anayeweza kufurukuta kidogo na huenda akashinda. Time will tell
 
Jamani Membe vipi ?
Ndio ameshakimbia kampeni ?
Alisema tarehe 17/09 tutaanza kuona jinsi kazi nzuri itakavyofanyika kwenye majukwaa
Mpaka sasa hakuna chochote.
Membe amekata tamaa

2508706_65516dc9-4f6f-4565-aabf-2d87c35b06e5.jpg
 
Kiongozi wa Chama, Ndugu Zitto Kabwe leo Septemba 18, 2020 atahutubia mkutano wa hadhara wa kampeni za mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtwara Mjini, Ndugu Hassan Uled.

Muda: Kuanzia Saa 8:00 hadi saa 12 jioni.

Mahali: Viwanja vya Mtaa wa Sinani.

Aidha Kiongozi wa Chama, Ndugu Zitto Zuberi Kabwe kesho Septemba 19,2020 atahutubia mikutano miwili ya hadhara kama ifuatavyo:

- Saa 4:00 asubuhi atamnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Newala Mjini, Ndugu Mbaraka Chilumba.

Wapi: Viwanja vya Mahakamani, Newala Mjini.

Jumamosi hiyo hiyo saa
8:00 mchana kiongozi wa Chama atamnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Lulindi, Ndugu Jerome Dismas Bwanausi.

Wapi: Viwanja vya Chiungutwa.

Wote mnakaribishwa

Imetolewa na:
Arodia Peter
Afisa Habari ( ACT-Wazalendo).
Leo Septemba 18, 2020.
Jamani mbona ACT ni Kigoma, Mtwara, Lindi na Zanzibar tu au ndio katiba ya ACT ilivyo?
 
Basi mzee. Mnyika kakimbia jimbo kwa kuogopa aibu, Mbowe maji shingoni, Zitto maji shingoni- anategemea kutengeza channel za kupata ruzuku ya ACT tu kwa kupata wabunge Pemba na Lindi. Ni Lema tu ndiye anayeweza kufurukuta kidogo na huenda akashinda. Time will tell

..Zitto anakwenda majimbo mbalimbali kusaidia wagombea wa chama chake.

..jana nilimuona akipiga kampeni Mafia, nadhani alijenga hoja vizuri sana.

..Mbowe siku zote huwa anashinda kwa tabu. Ndivyo chaguzi za Kilimanjaro zilivyo, hakuna kushinda kwa kishindo.
 
Basi mzee. Mnyika kakimbia jimbo kwa kuogopa aibu, Mbowe maji shingoni, Zitto maji shingoni- anategemea kutengeza channel za kupata ruzuku ya ACT tu kwa kupata wabunge Pemba na Lindi. Ni Lema tu ndiye anayeweza kufurukuta kidogo na huenda akashinda. Time will tell
Mnyika kakimbia jimbo? Toka 2015 alishagoma kugombea ubunge ila waliforce dakka za mwisho kumpa fomu maana ilikua ama awe katibu au ubunge ila sio vyote kwa pamoja maana vilimcost 2010-15 hasa jimboni na hilo aliweka wazi toka uchaguzi wa ndani hujaanza.

Sasa mnaposema amekimbia inatoka wapi? Si nyie ndio mlikua mnashauri kwa mapovu kuwa mtendaji mkuu asiwe mbunge? Ssa Mnyika na Kigaila wote hawagombei bado nongwa!!
Funny
 
Mnyika kakimbia jimbo? Toka 2015 alishagoma kugombea ubunge ila waliforce dakka za mwisho kumpa fomu maana ilikua ama awe katibu au ubunge ila sio vyote kwa pamoja maana vilimcost 2010-15 hasa jimboni na hilo aliweka wazi toka uchaguzi wa ndani hujaanza.

Sasa mnaposema amekimbia inatoka wapi? Si nyie ndio mlikua mnashauri kwa mapovu kuwa mtendaji mkuu asiwe mbunge? Ssa Mnyika na Kigaila wote hawagombei bado nongwa!!
Funny
Sawa mzee; nilikuwa najua kuwa alikuwa mbunge na katibu mkuu pia. Sikujua kuwa Katibu mkuu haruhusiwi kuwa mbunge.
 
Back
Top Bottom