Ally mvano
Member
- Jul 31, 2014
- 73
- 24
Hayo yametangazwa na Mwenyekiti wa Mkoa wa chama hicho Ndugu Jafari Kasisiko katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Mjini hapo na kuahidi kuleta jina la mgombea wao siku chache mbeleni
11/Hatuna shida na Tupo tayari kushirikiana nachama chochote kilicho tayari kushirikiana na sisi ikiwemo UKAWAThubutu. Unadhani Zitto hataki ugali. Yaani Zitto mwenyewe asiseme mtu mwingine aje amsemee?
Nadhani mleta mada, humjui vizuri Zitto.
Hapa chini ni baadhi ya kauli tata za Zitto
1/Sina mpango wa kugombea tena Ubunge 2015
2/ACT siijui ni ya nani na sihusiki na uanzishwaji wake.
3/Sina mpango wa kuondoka CHADEMA na nitakuwa wa mwisho kuhama CHADEMA.
4/Mwaka 2015 nimejipanga kugombea urais na sio ubunge tena.
5/Mara baada ya kuacha ubunge 2015 nitaachana na siasa, nitakwenda chuo kikuu kufundisha.
6/Sina mpango wa kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya ACT.
7/Sijui chochote kuhusu mpango wa siri wa kina Kitila Mkumba na Samson Mwigamba kuhusu mapinduzi ya kisiasa ya uongozi wa CHADEMA ili mimi niwe mwenyekiti.
8/Mimi ni mjamaa ninayeamini na kuishi sawa sawa na falsafa za mwalimu Nyerere za Kijamaa.
9/UKAWA ni wasaka tonge tu, sina muda wa kushirikiana nao.
10/Sakata la ESCROW ni mimi niliyeliibua, kulisimamia mpaka likafanikiwa kuwaangusha mawaziri bungeni, pasipo mimi kusingetokea kitu.
Naaam. Atagombea Urahisi kwa tikiti ya ACT
Zzk ni sheedah, november atarud dodoma kuendeleza harakati zake, wazalendo tupo pamoja nae!!:rockon::rockon: