Inawezekana ni kweli hatagombea pale Kigoma mjini kwakuwa anahisi atashindwa tu, kwani kwa pale uwezekano wa CCM kushinda ni mkubwa, kuna tetesi kuwa CCM itamsimamisha Dr. Kaborou (ambaye kwa sasa ni Mkiti wa CCM mkoa wa Kigoma, ikumbukwe naye alitokea CHADEMA), kwahiyo ACT kusimamisha mgombea pale awe Zitto au mwingine yeyote ni kwenda kupunguza kura za UKAWA, hivyo uwezekano ni mkubwa CCM kushinda pale, labda ZZK amenusa hilo akaona akimbie mapema, kimsingi kama siyo hizio hila za ACT jimbo lile lingeenda UKAWA