Zitto kutogombea Kigoma Mjini

Zitto kutogombea Kigoma Mjini

Ugonjwa wa kuhara sio mzuri ingawa wengine huutambulisha kwa jina la kipindupindu
 
Zitto hana msimamo na kauli zake tu zinathibitisha hilo.
 
Inawezekana ni kweli hatagombea pale Kigoma mjini kwakuwa anahisi atashindwa tu, kwani kwa pale uwezekano wa CCM kushinda ni mkubwa, kuna tetesi kuwa CCM itamsimamisha Dr. Kaborou (ambaye kwa sasa ni Mkiti wa CCM mkoa wa Kigoma, ikumbukwe naye alitokea CHADEMA), kwahiyo ACT kusimamisha mgombea pale awe Zitto au mwingine yeyote ni kwenda kupunguza kura za UKAWA, hivyo uwezekano ni mkubwa CCM kushinda pale, labda ZZK amenusa hilo akaona akimbie mapema, kimsingi kama siyo hizio hila za ACT jimbo lile lingeenda UKAWA
 
hapana siwezi kumchagua Zitto kamwe.

Na ndio maana hata umri wake ungemruhusu kugombea hangegombea kwa vile anajua hawezi kuchaguliwa. Kama Ubunge tuu kule Kigoma kaskazini ambako ni kwao na wanamfahamu vizuri alishinda kwa taabu 2010 kwa kupata 47% unadhani mchezo? Ndio maana hata huo ubunge kagoma kugombea kwao kwani anajua uwezekano wa kuangukia pua ni mkubwa mno.
 
Chadema zitto amewashika pabaya,hamli,hamlali mnamuwaza

Wewe na CCM yako ndio hamna akili mpumbavu wewe. Wametangaza wenyewe Act Vijana wa Lumumba mmeleta habari sasa Cdm hapo imehusikaje?. Nenda CCM achana na Act ---- ww.
 
Back
Top Bottom