PostGE2025 Zitto Kabwe tulikuonya uache uchawa hukusikia, sasa umeishia kuwekwa Selo na wafuasi wako kushtakiwa kwa makosa yasiyo na dhamana

PostGE2025 Zitto Kabwe tulikuonya uache uchawa hukusikia, sasa umeishia kuwekwa Selo na wafuasi wako kushtakiwa kwa makosa yasiyo na dhamana

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
440
Reaction score
3,211
1000506074.jpg


Taarifa kutoka Kigoma zinazai dalali wa siasa, Zitto Kabwe aliwekwa mahabusu kwa siku kadhaa baada ya uchaguzi mkuu kwa kuleta vurugu baada ya kushindwa uchaguzi.

Inadaiwa aliposhindwa kulinda kura kama alivyojinasibisha kabla, Zitto alianzisha vurugu akipinga ushindi wa Baba Levo, na hatimaye yeye na wafuasi wake wakakamatwa na Polisi kisha kuwekwa selo.

Kwa sasa yeye yupo nje, lakini wafuasi wake wameshtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha, pamoja na madai mengine yanayowafanya wabaki magereza.

Zitto, shetani hana rafifiki, hii iwe fundisho kwako.
 
Back
Top Bottom