mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,066
- 6,759
Kwa hiyo Tz kuna baa la njaa saivi ?Hata suala la njaa ilkiri hakuna njaa juzi tunamuona Polepole anasema eti hawakujua kama Longido kuna njaa kiasi hiki na hizi bombader time will tell
Kwa hiyo Tz kuna baa la njaa saivi ?Hata suala la njaa ilkiri hakuna njaa juzi tunamuona Polepole anasema eti hawakujua kama Longido kuna njaa kiasi hiki na hizi bombader time will tell
Unataka niamini kinachosemwa na Mange, ebu nitake radhi ndugu.
Kwa hiyo Tz kuna baa la njaa ?Njaa njaa njaa Tanzania ila wanasiasa wa serikali ya awamu ya tano wanasema hakuna njaa...Madawa Madawa hakuna hospitalini ila tunaambiwa Madawa yamejaa tele kwa hyo tununue terrible teen.
Asante. Unaweza kuiqoute ukaanzisa uzi huo.Mkuu,hi comment anzishia uzi wake unaojitegemea.
Kwa hiyo Tz kuna baa la njaa ?