mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,066
- 6,759
Acha siasa nyepesi, serikali imeshakuhakikishia ndege yetu si miongoni mwa "terrible teen", wewe unaendelea tu neno la Mange na Zitto, muda utawaumbua tu.Sasa kama na hawa wameanza mambo haya hatuna wa kumuamini ndani ya ccm