Rutaha Ally
Member
- Dec 25, 2012
- 28
- 26
kwa mfumo huu wa Mh. Raisi, mkuu wa mkoa ni kada wa CCM, mkuu wa wilaya ni kada wa CCM, mkurugenzi pia ni kada wa CCM, kweli vyama vya siasa vitapata pa kupumulia????????????Bila vyama vya siasa hatujui nn kinaendelea kwa hii nchi ni bora vilete changamoto japokuwa vinaburuzwaa