Zitto Kabwe, STOP using Ramadhan Semtawa kuivuruga CHADEMA

Zitto Kabwe, STOP using Ramadhan Semtawa kuivuruga CHADEMA

Ndiyo maana nimesema kwamba kuwaamini waandishi wa habari wa nchi hii unahitaji akili ya mwendawazimu.
 
Inawezekana mhariri wa gazeti hilo amempa mwandishi huyo assignment ya kufuatilia habari za Zitto!
 
Hii profession ya ajabu sana! Inakuaje mtu mwenye elimu ya darasa la saba anakuwa mwandishi wa habari, tena kwenye gazeti reputable kama Mwananchi? No wonder tunasoma **** kila uchao kutokana na waandishi wasio na upeo. Siamini kama mtu mwenye elimu ya darasa darasa la saba (au hata Form Four) ya miaka hii anaweza kufanya kazi nyeti kama ya uandishi wa habari.
Mkuu huamini nini sasa na wakati tayari Semtawa anaifanya? Halafu tunategemea zao la waandishi kupeleka wakapambane na wengine CNN
 
Jamani mpangilio wa huu uzi unahitaji siku nzima kuelewa nini kilichokusudiwa na mleta uzi. Bado naendelea kutafakari.
Nadhani mleta mada anataka kujua ni Zitto mwenyewe anayezisanii hizi habari(manoeuvre) au kuna mtu anatumia gazeti la Mwananchi kwa lengo la kumgombanisha Zitto na Chadema ili kuleta mpasuko wa kukidhoofisha chama

MY TAKE: I've seen self implication/incrimination in Zitto's response to these allegations. For starters, let's wait for those speeches he has promised to upload to his blog
 
Duuh, isijekuwa majungu ni mengi kuliko ukweli!
 
Watu walio maasimu wa CHADEMA ndio watetezi na mashabiki wakubwa wa Zitto, is it coincident?
 
Hizi ni habari za udaku!!!

Kwa nin usizitoe hizi shutuma kwa bosi wenu hapo Mwananchi ili awajibishwe badala ya unazileta hapa janvini.

Unamlaumu kwa kuandika habari lakini humlaumu mhariri wa Gazeti la Mwananchi ambaye ndiyo mwenye ufunguo wa ipi na katika muda gani habari iwekwe kwenye gazeti.

Wana Jf nimemfahamua Ramadhani Semtawa kwa kipindi kisicho zidi miaka 5 sasa tangu nijiunge na kampuni ya Mwananchi,Semtawa ni kijiana ambae yuko tayari hata kupoteza utu wake na ubinadamu wake pale anaposimamia maslahi yake binafsi,kielimu wakati anajiunga hapa alikua ana elimu ya Darasa la saba kwani alikua amefeli kidato cha nne,kwahiyo amefanya jitihada za kujiendeleza kwa kupewa fedha na watu kama SAMWEL SITA, CHENGE,ZITTO KABWE na wengine.

Semtawa kwa sasa anafanya kazi kwa ukaribu sana na familia ya nyumba kubwa (ikulu) amekuwa akipewa vijisenti vya kujikimu kwa watu wanaotokana na familia hiyo kwa mpango wa kumsaidia bosi wake mwingine ambae ni waziri (membe) semtawa ana GAMBA la kujiita mzalendo kama tulivo waandishi wengi ambao tunafanya kwa kujiita wazelendo wakati sisi ni wajasiria mali.

Ukimsoma semtawa ndie ambae huandika story nyingi za ZITTO,SITA,MEMBE,CHENGE.na hivi karibuni amekuwa ni kijana ambae anafanya kazi kwa kusaidia mawazo ya BOSI WETU anaitwa MAKUNGA na Pia hapa ndani sisi humuita jembe la IKULU, ukitazama mahusiano ya IKULU,ZITTO na mpango mchafu wa kukibomoa chama chetu vyote hivi vitakueleza nini bwana mdogo semtawa anafanya.

Wana Jf elimu yake sasa ana DIPLOMA ya DSJ ,pia sasa hivi ana rudia mitihani yake ya kidato cha nne,uwezo wake wa kufikiri mpaka hapa mnaweza kuupima,huu ni uelewa wangu mdogo juu ya huyu bwana mdogo,anatokea mkoa wa Tanga na mtaona mahusiano ya kijografia na bagamoyo.
 
Mzinga Hakika kinachoendelea ndani ya CDM ni udini na ukanda, lazima akina ZITTO watapata tabvu sana ndani ya CDM. ukitaka kujua kuwa hili ni la kweli angalia kinachomtokea NASSARI kule Arumeru baada ya kuonesha wazi wazi kumuunga mkono ZITTO, huenda mwaka 2015 asirudi mjengoni huyo NASSARI, labda aache mipango yake ya kumuunga mkono Zitto. Hakika CDM Wwakiendelea kumshambulia ZITTO kwa sababu tu ya ukabila , udini na ukanda CHAMA kinakufa si muda mrefu.

Uko sahihi kabisa
 
Last edited by a moderator:
Wakiambiwa huyu dogo haeleweki wanadai ooh ukabila haya waangalie na hizo makala za kijinga.
 
Back
Top Bottom