Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,530
Huyu kijana mnafiki sana....
Kama ndio kwanza unasikia uwepo wa gazeti hilo inamaana wewe ni mbumbumbu na hujui mambo mengi hivyo ulipaswa kukaa kimya. Ina maana hujui pia kwamba chama hicho kipya kinajihusishba na mambo ya KAFARA?
Na wataendelea kidhoofishana sana tu.CHADEMA WALIIODHOOFISHA CUF.NA CUF WALIIODHOFISHA NCCR-Mageuzi.KAMA CHADEMA MTADHOOFU HOFU YA NINI,WANANCHI NDO WAAMUZI.
Wanakamata miti inateleza.Singo mpya hiyo, mmehama kwenye usalit mara ccm b mnatapata kama kuku, na bado mwaka huu mtazaa tu
siku hizi haandiki tena issues,anaandika watu(character assassination).ama ni fedha za mbowe anahonga synovate.halafu eri kubenea anashanda tuzo ya mwanadishi bora wa habari za kiuchunguzi wakati hata uzushi wa kwenye photoshop nao anaandika.
Halafu eri KUBENEA anashanda tuzo ya mwanadishi bora wa habari za kiuchunguzi wakati hata uzushi wa kwenye photoshop nao anaandika.
Halafu eri KUBENEA anashanda tuzo ya mwanadishi bora wa habari za kiuchunguzi wakati hata uzushi wa kwenye photoshop nao anaandika.
Hiyo mi mawio ni mijingajinga tu watafute uzushi mwingine