Zitto Kabwe: Say NO to Posho

Hahaha yaani anapewa posho anapewa na risiti? Hamjui hata malipo ya serikali yanafanyikaje? Mnatumika vibaya aisee
 
Duh sipendi kama kuna unafiki wowote zitto anafanya,
ila hapa mkuu umeonesha ifinyu wa fikra kabisa ndugu yangu.

Hapo serikali ime acknowledge kupokea kiasi cha fedha kutoka kwa zito, bahati mbaya sioni vema kwa imelipwa kama nn maana hzo ni general receipt so is multi-purpose.

Mkuu, hizo ndo akili za bavicha. yaani wametengeleza risiti lakini hawajui wajaze vipi. yaani ni aibu kubwa na anguko kwa chama kinachojifanya kiko makini. kwa hili ni janga kubwa sana
 
WAKUU HABARI ZA SASA!,

Tazama hii kitu, alisema hapa achukui posho yoyote hile mpaka kwake kigoma RCC NA BARAZA LA MADIWANI, na mheshimu sana zitto ninacho muona kama atambui akuna siri ya watu wa wawili duniani isijekujilikana , siri ni yako tu ndio aitajulikana, Zitto GODBLESS J Lema
Ushahidi-+Zito.jpg

Mkuu mimi sipo upande wa ZITTO lakini tambua unapoanzisha thread kama hii unaianika akili yako na kuiweka katika watu wasio na ufahamu wa kutosha juu ya masuala ya Fedha, hii Risiti upewa mtu pale yeye anapolipa fedha na ndio maana kinachoonekana hapo ni kuwa Zitto ndio aliyetoa pesa na sio aliyepokea.Jitahidi kuchunguza kitu kabla ya kupost kwani hii iliisha wasilishwa hapa jana na ilijadiliwa na makosa mengi yalionekana nashangaa leo unaibuka nayo tena. Kwa hiki unachokifanya naona unaondelea kumpaisha Zitto badala ya kumshusha.
 
huu mjadala hauna tija kwa afya ya chadema na upinzani!JENGENI CHAMA,TAFUTENI UMOJA BILA HVYO MSAHAU KUINGIA IKULU.
 
Kwa taratibu za Serikali, risiti hizi anapewa mtu anayelipia gharama serikalini. Ni wazi hizo pesa zilitoka kwa ZZK kwenda Serikalini.

Naona lengo kuu la CDM linahama toka kuitoa CCM madarakani hadi kutoa wanachama wenye mitazamo tofauti na baadhi ya wabenzi.

Wabenzi???
 
Hahaha yaani anapewa posho anapewa na risiti? Hamjui hata malipo ya serikali yanafanyikaje? Mnatumika vibaya aisee

Yaani aisee hawa CHADEMA wanatia huruma. me kwa hili nimewadharau sana tena kupita maelezo
 
teh teh teh..... shule ni kitu muhimu sana

sure Mkuu, Kama mwenyekiti wao ni form four failure, wafuasi wake watakuwaje? yaani wamefanya njia nyingi kumchafua Zitto ila hii ya leo imepitiliza
 
WAKUU HABARI ZA SASA!,

Tazama hii kitu, alisema hapa achukui posho yoyote hile mpaka kwake kigoma RCC NA BARAZA LA MADIWANI, na mheshimu sana zitto ninacho muona kama atambui akuna siri ya watu wa wawili duniani isijekujilikana , siri ni yako tu ndio aitajulikana, Zitto GODBLESS J Lema
Ushahidi-+Zito.jpg

Risiti za Tar.07/10/2011 huu mwaka gani?
 
Nadhani wewe ni juha namba moja, na hujui unachokifanya. Hata kama ni chuki huwa haziwi hivyo. Hizo risiti ni kuonyesha kuwa Zitto hakuchukua posho hivyo ili irudishwe lazima ikatiwe risiti ya serikari. hata mshahara usipochukuliwa na mlipwaji lazima ukatiwe risiti ya serikali. kalagha bhaho.

Dah, ngoma sasa inogile
 
received from Zitto Kabwe.siku nyingine uwe makini.Hongera Zitto kwa kuwalipa
 
Mhhh sijaona sehemu ambayo Zitto kasign kuonyesha kwamba kapokea hiyo pesa cz listi inaweza kuandikwa bt pesa mtu usichukue ww leta ushahidi hapa unaonyesha sign ya zito kupokea hiyo pesa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ni lini ulilipwa pesa ukasaini kwenye risiti kama sikupoteza watu!
 
Hii nadhani imetoka hapa jaribu kupitia hapa mtaelewa nini maana ya hii kitu N:B hii habari ni ya mwaka 2011
#1 Say NO to Posho! | Zitto na Demokrasia


Zitto na Demokrasia

Zitto na Demokrasia

#1 Say NO to Posho!

with 25 comments
Last week I attended four meetings in Kigoma in my capacity (and as part of my job, which people elected me to do) as MP of Kigoma Kaskazini.
I attended meetings at the Constituency Development Fund Committee, District Council, Road Board and Regional Consultative (RCC). In all of these meetings participants are ‘entitled' to receive posho (sitting allowance).
This is how to say NO to posho and stand by it:
Say NO to Sitting Allowance In keeping with my stand I said NO to the posho. However, I signed for it and took it - in order then to go round the technicality of returning back the posho to the Government to show that my statement is not just rhetoric but action.

We have to walk the talk.
Above photo illustrates the receipt showing the payment I made back to the Government for the Road Board meeting.
Let's cut down on unnecessary expenditure and direct this money to our development budget to spur development and growth.
TUNAWEZA!
Please, do also read Policy Forum's report ‘Why we must abolish ‘sitting allowance'.
 
Amaa kweli Division 5 zipo nyingi.... cha kuchekesha zaidi hizo risiti zipo kwenye blog ya Zitto!
 
Mtu mpaka kuwa kiongozi ndani ya chama....ujue yupo makini.....mnaocheza muziki wa Lema mjue kuwa mnapotoka na kuzidi kuwapotosha wengi hata kuwakatisha tamaa walioamini katika mabadiliko ya kweli.
 
Risiti za Tar.07/10/2011 huu mwaka gani?

Mkuu, kuna haja ya kujikumbusha majibu ya ZITTO katika hili
[h=1]ZITTO KABWE NAYE AJIBU BAADA YA LEMA KUANDIKA WARAKA KUWA ZITTO NI MNAFIKI[/h]
Zitto katika Facebook wall yake leo.

Kuchukua au kutochukua posho za vikao kama mbunge ni suala la misingi (principles) na sio suala la uwezo kifedha. Kuna wabunge matajiri sana lakini wakachukua posho na wengine wa kawaida kabisa hatuchukui posho.

Sio posho tu, hata msamaha wa kodi wa kuingia magari nimeukataa sababu ya misingi tu, kwamba siwezi kuwa Waziri kivuli ninayepinga misamaha ya kodi wakati huo huo nikachukua misamaha ya kodi. Ninaamini katika siasa za kutenda ninachosema. Mjadala wa posho kwangu mimi nimeufunga toka Juni 8, 2011 nilipoacha kupokea posho za vikao.

Mwaka huo pia nilikataa msamaha wa kodi ya kuingia gari. Ni msimamo tu, hapa mtu hupendi msimamo wangu isiwe uadui, wewe endelea kuchukua posho, omba ziwe nyingi zaidi na wala sitatia neno kwenye msimamo huo japo nitaudharau maana posho za vikao ni kuwaibia wananchi ambao hawana maji safi na salama, watoto wao hawana walimu sababu Serikali haiwalipi walimu vizuri, kina mama waja wazito wanakufa kutokana na huduma mbovu za afya huko vijijini nk.

Haya ndio masuala ya wananchi wetu na sio kudai kuongezewa posho.
 
Back
Top Bottom