Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
uchu wa madaraka ni wa kuogopa huyu tena sana
Marais wote wastaafu wa Tanazania hawakuwa na tamaa ya urais wala hawakutangaza nia mapema kiasi hicho kabla hata meno ya juu hayajaota?!
uchu wa madaraka ni wa kuogopa huyu tena sana
khaa! jamani nafikir kama mtanzania yeyote yule mwenye akili timamu anaruhusiwa kugombea uraisi ila shida yangu kwa kijana zito ni bado wakati wako mkuu. subiri kwanza ukue kiakili Tanzanian siyo DARUSO mkuu ingekuwa hivyo hata RUGE na FLAVIANA wangegombea. unahitaj kukua kuonyesha uwajibikaji wako na kuwa na dhamira ya kweli ya kuongoza wala siyo kwenda ikulu kuangalia tausi tu na kuonyesha uchekibobu.
ndio maana wenzio wenye akili wanacheza kwa step sana tu.
Zitto kakutuma?000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
Hiyo iliyofanya hapa, has no credibility, you are not even 0.000001% of the CDM voters, kwa hivyo you dont play any role in the decision making, please let the true system do its work. Zitto is the only light at the end of the tunnel for CDM. Dr.SLA n Mbowe are the down fall for CDM.
la yeye kuwa na dhamira ya kuwa Rais liko waazi
kila mtu analiona bila hata yeye kulitangaza
kama alikuwa hana uhakika na mwaka gani
basi asingetangaza now...
Licha ya kuonesha uwezo katika maeneo kadhaa, watu wengi wana mashaka juu ya uadilifu wako, utashi, hekima, busara na mshikamano wako na viongozi wenzio na chama. Je katika matukio yafuatayo yaliyotia shaka juu ya uadilifu na dhamira yako, unayatolea maelezo gani:
1) Wakati wa kampeni za uchaguzi za 2010 wakati viongozi wenzio wa CHADEMA wakiwa wanahangaika kutafuta kura, wewe ulionekana maeneo kadhaa ukifanya mikutano ya siri na RA. Mikutano hiyo iliyokuwa na manufaa kwa chama, Taifa au kwako binafsi? Ilikuwa na faida kwa kiasi gani, na mlikuwa mkiongelea nini?
2) Wakati viongozi wenzio wa CHADEMA mwaka 2010 wakisulibiwa na jeshi la polisi na TISS, wewe ulithibitika wakati wote ukiwa na mawasiliano ya karibu na viongozi wa juu wa TISS. Mawasiliano yako ya daima na viongozi wa TISS, yalikuwa ni kwaajili ya manufaa ya Taifa, yako binafsi, wapiga kura wako au viongozi wenzako wa CHADEMA? Na kwa nini wewe pekee yako ndani ya CHADEMA, unaonekana kutopata misukosuko yoyote kutoka polisi? Nini uhusiano wako na TISS na viongozi wake?
3) Kwa nini mwaka 2010 uliamua kumpigia kampeni JK badala ya mgombea wa chama chako Dr. Slaa?
4) Kwa nini kila mara umeonekana kutaka madaraka ya kila nafasi inapopatikana?
5) Kwa kujitathmini mwenyewe unadhani ni nini mapungufu yako (ambayo ni lazima uyafanyie kazi) na nini nguvu zako? i.e. your strengths and weaknesses.
6) Kila mara umezungumzia nafasi ya vijana katika uongozi wa Taifa, je, unazungumzia vipi mchango wa ujana katika uongozi bora? Unazungumzia vipi utendaji mbovu wa mawaziri vijana walioteuliwa na JK katika serikali yake (ref. Ngeleja, Maige na Malima) hata kulazimika kuwateua wazee (ref. Prof. Muhongo & Mgimwa) ili kuokoa jahazi lililowashinda vijana? Je, ujana ni sifa inayoweza kuliokoa Taifa au zaidi ni moral satifaction kuliko faida tunayoweza kuipata?