salosalo
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 596
- 278
Kama kawaida mimi napenda kutoa maoni ya kile ninachoona ni sawa bila kufuata ushabiki wowote wa chama pamoja na kwamba mimi ni mfuasia wa chama kimoja tu humu ndani ya Jamhuri.
Zitto ni kiongozi amabaye anaonekana kuwa na kiu kubwa ya mafanikio, huenda anataka ikiwezekana yaje kesho. Tabia na mwenendo wake vinanipa kuamini kuwa Ifikapo mwaka 2020 pengine atakuwa na uzoefu wa kutosha kuongoza nchi hii. Si maanishi umri bali Utulivu wa ki-utu uzima bado hajaufikia. Hata tatizo kuu ninaloliona kwa raisi wetu wa sasa ni hilohilo. yaani kakosa utulivu wa ki-utu uzima. Utulivu huu hauji kwa kuishi miaka mingi, wala kwa kufanya kazi mda mrefu. Sharti uzaliwe nao kisha uendelee kukomaa taratibu kwa kadiri unavyoishi. Zito anao ila nadhani mpaka 2018 utakomaa lakini si 2015
Zitto ni kiongozi amabaye anaonekana kuwa na kiu kubwa ya mafanikio, huenda anataka ikiwezekana yaje kesho. Tabia na mwenendo wake vinanipa kuamini kuwa Ifikapo mwaka 2020 pengine atakuwa na uzoefu wa kutosha kuongoza nchi hii. Si maanishi umri bali Utulivu wa ki-utu uzima bado hajaufikia. Hata tatizo kuu ninaloliona kwa raisi wetu wa sasa ni hilohilo. yaani kakosa utulivu wa ki-utu uzima. Utulivu huu hauji kwa kuishi miaka mingi, wala kwa kufanya kazi mda mrefu. Sharti uzaliwe nao kisha uendelee kukomaa taratibu kwa kadiri unavyoishi. Zito anao ila nadhani mpaka 2018 utakomaa lakini si 2015