Dkt Kilembwe
Senior Member
- Apr 25, 2015
- 154
- 102
Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Ndugu Zitto Kabwe na Mbunge Moses Machali wamefunika kwa umati Mkubwa wa watu katika mji wa Kigoma Mjini.
Mkutano huo umefanyika katika Viwanja vya Kahabwa Gungu.
Mkutano huo umefanyika katika Viwanja vya Kahabwa Gungu.