Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
kauli ya zito ni ya kinafiki, kwa sababu hata yeye ni mwanasiasa kama anajua hilo kwa nini aliingia katika siasa na kuendelea kukaa humo?
huwezi kuchukia kitu na huku unaendelea kukifanya na hali uwezo wa kutokukifanya bado upo.
na si kweli kuwa siasa ni chafu inategemea na wachezaji wa mchezo huo.
huku kwetu watu ni njaa tu zimewazidi. lakini huko nchi nyingine wanafanya siasa na mambo yanaonekana.
tatizo bongo ni njaa za wanaoifanya siasa na ujinga wa sisi wananchi.
huwezi kuchukia kitu na huku unaendelea kukifanya na hali uwezo wa kutokukifanya bado upo.
na si kweli kuwa siasa ni chafu inategemea na wachezaji wa mchezo huo.
huku kwetu watu ni njaa tu zimewazidi. lakini huko nchi nyingine wanafanya siasa na mambo yanaonekana.
tatizo bongo ni njaa za wanaoifanya siasa na ujinga wa sisi wananchi.