SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,843
- 1,841
Mh Rais hataki mchezo na wakwepa kodi, na hilo keshathibitisha. Kama kweli ulikuwa mkweli kuhusu kuwa na majina ya wanaoficha pesa nje ya nchi ili kukwepa kodi.
Tunaomba umkabidhi mh Rais hiyo list ili awashughulikie or else tutajua ulikuwa unatafuta umaarufu tu bungeni.
Nawasilisha
Tunaomba umkabidhi mh Rais hiyo list ili awashughulikie or else tutajua ulikuwa unatafuta umaarufu tu bungeni.
Nawasilisha