Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,544
- 51,281
Unajua kabla ya ku comment ungemuuliza Zitto atoe uchambuzi wa matumizi ya hiyo mikopo iliyochukuliwa wakati wa kikwete na ya wakati wa Magufuli. Ndiyo maana tuna akili tumepewa na Mungu tuzitumie kama kuna mpotoshaji akitokea tuweze kuzitumia.
Mfano Tanzania ilikua vituo vya afya 77 tangu Uhuru ina maana Nyerere, Mwinyi, Mkapa na rafiki yake zitto Jakaya Kikwete wote hao katika miaka zaidi ya 50 walijenga vituo 77. Huyu mnayemsema leo katika miaka yake minne madarakani kajenga vituo 352. Katika hivyo Hospitali za Halmashauri zipo 9, Vituo vya afya vipo 304 na zahanati 39. Amekaratabati Meri 3, anajenga meri mpya ziwa victoria. Anajenga reli anajenga bwawa la umeme. Amenunua ndege n.k Hivyo kimahesabu anaweza kukokotoa na ukakubali. Sasa tuambie hizo za miaka 10 ya kikwete ipi miradi mikubwa aliifanya?????
Ukizingatia makokotoo kama hayo hutaweza kudanganywa na wapiga zumari kama kina zitto.
acha kumezeshwa propaganda hospitali za kata zimejengwa sana na JK