Zitto Kabwe: Miaka minne ya Magufuli deni la Taifa limeongezeka sawa na miaka 10 ya Kikwete

Suphian Juma

Senior Member
Apr 2, 2019
132
541
ZITTO KABWE: MIAKA MINNE YA MAGUFULI DENI LA TAIFA LIMEONGEZEKA SAWA NA MIAKA 10 YA KIKWETE.

Na: Suphian Juma

Wakati Serikali ya Magufuli inajinasibu kuwa ya wanyonge na kwamba Rais Magufuli ndiye Rais pekee kupata kutokea tangu tupate Uhuru na kwamba kama kuna tatizo kubwa la kitaifa halijatatuliwa na yeye awali hii, hapatatokea Rais mwingine atakayekuwa na ubavu wa kulitatua; Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT wazalendo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hususani Twitter ameonesha takwimu na hivyo kusikitishwa na ongezeko la Deni la Taifa lisilomithilika.

Hapa nimewasogezea mtiririko wa 'tweets' (posts) nne ambazo Zitto ameziandika kupitia Twitter leo Sept 27, 2019.

1. Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku.

2. Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.

3. Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billioni ( Novemba 2005 ). Wakati inaondoka madarakani, miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 ). Ongezeko la USD 7 bilioni.

4. Septemba 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna ajira mpya kiivo. Hakuna nyongeza ya mishahara kisheria, wafanyakazi wanalia kila siku. Wanaopanda vyeo hawalipwi mishahara ya vyeo vyeo vipya ( wafanyakazi wa Umma wanalia kila siku ). Masikini waliostaafu miaka 2 iliyopita mpaka leo hawajalipwa. HATUDANGANYIKI.


Kwakuwa Watanzania sio wajinga, nadhani ni vyema sasa tukatafakari kwa kina suala hili, tukizingatia tunavyozidi kuwa maskini kila uchwao tofauti na miaka iliyopita kabla ya 2015. Na kwamba kama dhumuni la kuwa na Serikali na Rais Mpya ni kuwa na maisha bora, na dhumuni hili halijatimia, je bado tutamchagua tena Magufuli 2020 au badala yake tutahakikisha tumchagua Rais Mpya, Serikali Mpya na Chama kimya Ikulu ili kuirejesha NCHI kwenye MISINGI ya MATUMAINI kwa VITENDO?

TUTAFAKARI.

ACT wazalendo tupo nanyi DAIMA!

Suphian Juma
Sept 27, 2019
Singida.
IMG-20190927-WA0022.jpeg
 
ZITTO KABWE: MIAKA MINNE YA MAGUFULI DENI LA TAIFA LIMEONGEZEKA SAWA NA MIAKA 10 YA KIKWETE.

Na: Suphian Juma

Wakati Serikali ya Magufuli inajinasibu kuwa ya wanyonge na kwamba Rais Magufuli ndiye Rais pekee kupata kutokea tangu tupate Uhuru na kwamba kama kuna tatizo kubwa la kitaifa halijatatuliwa na yeye awali hii, hapatatokea Rais mwingine atakayekuwa na ubavu wa kulitatua; Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT wazalendo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hususani Twitter ameonesha takwimu na hivyo kusikitishwa na ongezeko la Deni la Taifa lisilomithilika.

Hapa nimewasogezea mtiririko wa 'tweets' (posts) nne ambazo Zitto ameziandika kupitia Twitter leo Sept 27, 2019.

1. Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku.

2. Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.

3. Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billioni ( Novemba 2005 ). Wakati inaondoka madarakani, miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 ). Ongezeko la USD 7 bilioni.

4. Septemba 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna ajira mpya kiivo. Hakuna nyongeza ya mishahara kisheria, wafanyakazi wanalia kila siku. Wanaopanda vyeo hawalipwi mishahara ya vyeo vyeo vipya ( wafanyakazi wa Umma wanalia kila siku ). Masikini waliostaafu miaka 2 iliyopita mpaka leo hawajalipwa. HATUDANGANYIKI.


Kwakuwa Watanzania sio wajinga, nadhani ni vyema sasa tukatafakari kwa kina suala hili, tukizingatia tunavyozidi kuwa maskini kila uchwao tofauti na miaka iliyopita kabla ya 2015. Na kwamba kama dhumuni la kuwa na Serikali na Rais Mpya ni kuwa na maisha bora, na dhumuni hili halijatimia, je bado tutamchagua tena Magufuli 2020 au badala yake tutahakikisha tumchagua Rais Mpya, Serikali Mpya na Chama kimya Ikulu ili kuirejesha NCHI kwenye MISINGI ya MATUMAINI kwa VITENDO?

TUTAFAKARI.

ACT wazalendo tupo nanyi DAIMA!

Suphian Juma
Sept 27, 2019
Singida.View attachment 1217215
Jamani hebu tueleweshane hapo. Deni likiongezeka huku pesa hizo zinafanya miradi mingi inayoonekana tatizo liko wapi? Si ni kama kukopa bank. Shida kwa maoni yangu ni kama deni likitumika vibaya ndio tumcharure Uncle Magu. Tupeane elimu wadau labda mimi naelewa vibaya
 
Jamani hebu tueleweshane hapo. Deni likiongezeka huku pesa hizo zinafanya miradi mingi inayoonekana tatizo liko wapi? Si ni kama kukopa bank. Shida kwa maoni yangu ni kama deni likitumika vibaya ndio tumcharure Uncle Magu. Tupeane elimu wadau labda mimi naelewa vibaya
Kinachoniumiza kichwa deni linaongezekaje wakati tunaambiwa kila mradi ni pesa ya ndani ndio inatumika? Hakuna mkopo wala msaada!! Ikiulizwa bungeni wao wanasema tu kuwa deni ni STAMILIVU!!! Kama hali ndio hii huko mbeleni kulilipa deni la taifa rais mupya!! Atakuwa na kazi ya ziada!!! Na pole yetu watz!!
 
ZITTO KABWE: MIAKA MINNE YA MAGUFULI DENI LA TAIFA LIMEONGEZEKA SAWA NA MIAKA 10 YA KIKWETE.

Na: Suphian Juma

Wakati Serikali ya Magufuli inajinasibu kuwa ya wanyonge na kwamba Rais Magufuli ndiye Rais pekee kupata kutokea tangu tupate Uhuru na kwamba kama kuna tatizo kubwa la kitaifa halijatatuliwa na yeye awali hii, hapatatokea Rais mwingine atakayekuwa na ubavu wa kulitatua; Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT wazalendo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hususani Twitter ameonesha takwimu na hivyo kusikitishwa na ongezeko la Deni la Taifa lisilomithilika.

Hapa nimewasogezea mtiririko wa 'tweets' (posts) nne ambazo Zitto ameziandika kupitia Twitter leo Sept 27, 2019.

1. Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku.

2. Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.

3. Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billioni ( Novemba 2005 ). Wakati inaondoka madarakani, miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 ). Ongezeko la USD 7 bilioni.

4. Septemba 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna ajira mpya kiivo. Hakuna nyongeza ya mishahara kisheria, wafanyakazi wanalia kila siku. Wanaopanda vyeo hawalipwi mishahara ya vyeo vyeo vipya ( wafanyakazi wa Umma wanalia kila siku ). Masikini waliostaafu miaka 2 iliyopita mpaka leo hawajalipwa. HATUDANGANYIKI.


Kwakuwa Watanzania sio wajinga, nadhani ni vyema sasa tukatafakari kwa kina suala hili, tukizingatia tunavyozidi kuwa maskini kila uchwao tofauti na miaka iliyopita kabla ya 2015. Na kwamba kama dhumuni la kuwa na Serikali na Rais Mpya ni kuwa na maisha bora, na dhumuni hili halijatimia, je bado tutamchagua tena Magufuli 2020 au badala yake tutahakikisha tumchagua Rais Mpya, Serikali Mpya na Chama kimya Ikulu ili kuirejesha NCHI kwenye MISINGI ya MATUMAINI kwa VITENDO?

TUTAFAKARI.

ACT wazalendo tupo nanyi DAIMA!

Suphian Juma
Sept 27, 2019
Singida.View attachment 1217215
Kwani awamu ya 4 zilifanyika shughuli gani za kiuchumi zinazoonekana kwa macho haya ya mwili?!!......mbona ilitkopa fedha nyingi sana!!!!
 
Kinachoniumiza kichwa deni linaongezekaje wakati tunaambiwa kila mradi ni pesa ya ndani ndio inatumika? Hakuna mkopo wala msaada!! Ikiulizwa bungeni wao wanasema tu kuwa deni ni STAMILIVU!!! Kama hali ndio hii huko mbeleni kulilipa deni la taifa rais mupya!! Atakuwa na kazi ya ziada!!! Na pole yetu watz!!
Akirudi unistue
 
Kinachoniumiza kichwa deni linaongezekaje wakati tunaambiwa kila mradi ni pesa ya ndani ndio inatumika? Hakuna mkopo wala msaada!! Ikiulizwa bungeni wao wanasema tu kuwa deni ni STAMILIVU!!! Kama hali ndio hii huko mbeleni kulilipa deni la taifa rais mupya!! Atakuwa na kazi ya ziada!!! Na pole yetu watz!!
Kinachoniumiza kichwa deni linaongezekaje wakati tunaambiwa kila mradi ni pesa ya ndani ndio inatumika? Hakuna mkopo wala msaada!! Ikiulizwa bungeni wao wanasema tu kuwa deni ni STAMILIVU!!! Kama hali ndio hii huko mbeleni kulilipa deni la taifa rais mupya!! Atakuwa na kazi ya ziada!!! Na pole yetu watz!!
cc: NFA hili ndio jibu sahihi kwa mazwazwa wa lumumba
 
ZITTO KABWE: MIAKA MINNE YA MAGUFULI DENI LA TAIFA LIMEONGEZEKA SAWA NA MIAKA 10 YA KIKWETE.

Na: Suphian Juma

Wakati Serikali ya Magufuli inajinasibu kuwa ya wanyonge na kwamba Rais Magufuli ndiye Rais pekee kupata kutokea tangu tupate Uhuru na kwamba kama kuna tatizo kubwa la kitaifa halijatatuliwa na yeye awali hii, hapatatokea Rais mwingine atakayekuwa na ubavu wa kulitatua; Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT wazalendo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hususani Twitter ameonesha takwimu na hivyo kusikitishwa na ongezeko la Deni la Taifa lisilomithilika.

Hapa nimewasogezea mtiririko wa 'tweets' (posts) nne ambazo Zitto ameziandika kupitia Twitter leo Sept 27, 2019.

1. Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku.

2. Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.

3. Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billioni ( Novemba 2005 ). Wakati inaondoka madarakani, miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 ). Ongezeko la USD 7 bilioni.

4. Septemba 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna ajira mpya kiivo. Hakuna nyongeza ya mishahara kisheria, wafanyakazi wanalia kila siku. Wanaopanda vyeo hawalipwi mishahara ya vyeo vyeo vipya ( wafanyakazi wa Umma wanalia kila siku ). Masikini waliostaafu miaka 2 iliyopita mpaka leo hawajalipwa. HATUDANGANYIKI.


Kwakuwa Watanzania sio wajinga, nadhani ni vyema sasa tukatafakari kwa kina suala hili, tukizingatia tunavyozidi kuwa maskini kila uchwao tofauti na miaka iliyopita kabla ya 2015. Na kwamba kama dhumuni la kuwa na Serikali na Rais Mpya ni kuwa na maisha bora, na dhumuni hili halijatimia, je bado tutamchagua tena Magufuli 2020 au badala yake tutahakikisha tumchagua Rais Mpya, Serikali Mpya na Chama kimya Ikulu ili kuirejesha NCHI kwenye MISINGI ya MATUMAINI kwa VITENDO?

TUTAFAKARI.

ACT wazalendo tupo nanyi DAIMA!

Suphian Juma
Sept 27, 2019
Singida.View attachment 1217215
kwa kuzitazama hizi takwimu kichwa lazima kiumwe lakini thamani ya dola miaka 10 ni tofauti na miaka hii. hivyo angezeko lazima lionekane. hata mangi hukopwa, mradi tusilale njaa
 
Kikwete akijenga nini? .zitto anamuandama mh rais kwa sababu ni mkristi
Kikwete alikuwa anakubali kuwa ni kweli anakopa!! Kuna nyingine zilitumika kwani barabara nyingi zinazofunguliwa sasa ujenzi wake ulianza lini? Shida kubwa ya awamu hii ni kuaminisha watu kuwa serikali haikopi pesa za mabeberu, miradi yote inayoendelea ni pesa za kwetu, na kila akiuliza anaambiwa kwenye chungu pesa zimo kibao, je hilo deni linakuwaje hivyo tena kwa kipindi kifupi hivi?? Shida ipo hapo tu. Kuna vitu vingine USANII HAUSAIDIII, mtu akihoji, eeee badala ya kujibiwa, ohhh ametumwa na mabeberu!! Juzi nimemuona prof. Majalala yupo kwa trump, kuahidiwa pesa za seli mundu, daaa ameshukuru kuwa USA, ni raifiki mwema, ngoja waje wazungumzie demokrasia utasikia sisi ni nchi huru, hatupangiwi na mabeberu!!! Hapo huwa nachoka, UNAPEWA JINA KULINGANA NA MUKTADHA!!!
 
Kinachoniumiza kichwa deni linaongezekaje wakati tunaambiwa kila mradi ni pesa ya ndani ndio inatumika? Hakuna mkopo wala msaada!! Ikiulizwa bungeni wao wanasema tu kuwa deni ni STAMILIVU!!! Kama hali ndio hii huko mbeleni kulilipa deni la taifa rais mupya!! Atakuwa na kazi ya ziada!!! Na pole yetu watz!!
Sio donor fund projects kama danida, jica, au USaid. Ni pesa amabazo hata tukikopa ni lazima tuzilipe. Zinatoka adb au wb. Tuna miradi nzima ya barabara, meli, vivuko, umeme, maji, afya, utalii, bandari, viwanja vya ndege. Kodi inayokusanywa haifikii hizo gharama.
 
Adui namba moja wa maendeleo ya nchi yetu ni ccm na watu wake. Siku ya kuwaondoa hawa mchwa, hakika kila Mtanganyika na Mzanzibari atafurahia matunda ya Uhuru wa nchi yake.

Lakini sijapenda lugha yako, 'Mtanganyika na Mzanzibari'. Kulikuwa na ugumu gani kuandika kila Mtanzania.
 
Kikwete akijenga nini? .zitto anamuandama mh rais kwa sababu ni mkristi
Eti kisa Mkristo, shame on you!! Basi watu kama nyinyi ndio mnaounga mkono kila kitu hata kama ni cha kipumbavu kwa sababu inawezekana mna-share dini moja na/au kabila moja!!

Zile barabara ambazo kila leo mnamkweza Magufuli zilijengwa awamu ya Magufuli?!Pesa ambazo Magufuli alinunulia kivuko kibovu zilitokana na awamu yake? UDOM ilijengwa na pesa kutoka mfuko wa JPM?! Hivi unashindwa kutofautisha kati ya watu wanao-invest kwenye social services na wanao-invest kwenye miradi kichaa bila kujua aanze na nini amalize na nini!!

Mnatupigia kelele eti zahanati 300. hivi hata uzichanganye zote pamoja zinaweza kufikia gharama za Mloganzila Hospital!
Magufuli katumia zaidi ya Trioni moja kununua ndege mwenzake katumia zaidi ya trilioni moja kujenga chuo kikuu, unaona tofauti hiyo?!!Tangu Magu aingie hajapandisha mshahara na ajira zenyewe anatoa kwa kuchungulia!! Shule hazina walimu wa sayansi na wala hana programu yoyote ya kutatua tatizo husika baada ya kuizika Special Diploma pale UDOM halafu unataka kumlinganisha na mtu ambae mambo kama hayo kwake yalikuwa ndo kipaumbele!!
 
Ni mjinga wa kiwango cha lami tu ndo ataye ungana na huyu ndumila kuwili na mpenda madaraka.

Kwahyo Zitto anadhani miradi yote ya kimkakati mfano Julius Nyerere H.E.P, SGR na miradi lukuki ya kila pembe ya nchi hii zinatumia fedha zipi?

Sijui hizo degree za kukariri ndo zinawafanya wajione much knw kiasi hicho au ndo Ile Ukiwa Mpinzani lazima upinge kila kitu hata kiwe na manufaa kwa nchi kiasi gani.

Kabwe acha kutapatapa kwani sion logic yako na huna future na nchi hii kwa maendeleo endelevu. kama bado mpaka mwaka huu 2019 bado hujamwelew bwana mkubwa anawaza nini na kwa manufaa ya nani basi hata hutufai kutuwakilisha pale Mjengoni maan ni mfia tumbo tu kama vilaza wengine.
 
Kinachoniumiza kichwa deni linaongezekaje wakati tunaambiwa kila mradi ni pesa ya ndani ndio inatumika? Hakuna mkopo wala msaada!! Ikiulizwa bungeni wao wanasema tu kuwa deni ni STAMILIVU!!! Kama hali ndio hii huko mbeleni kulilipa deni la taifa rais mupya!! Atakuwa na kazi ya ziada!!! Na pole yetu watz!!
Tumia akili hata kidogo wewe. Kama sio Pesa zetu deni linakuuma la nini.
Miradi yote hiyo haikufanywa na serikali zilizopita kwa hofu ya gharama. Msakatonge zito anatafuta wajinga kama wewe wenyenakisi ya kushirikiana akili. Hawezi wapata werevu
 
Kivipi wakati sie ni dona kantri????
ZITTO KABWE: MIAKA MINNE YA MAGUFULI DENI LA TAIFA LIMEONGEZEKA SAWA NA MIAKA 10 YA KIKWETE.

Na: Suphian Juma

Wakati Serikali ya Magufuli inajinasibu kuwa ya wanyonge na kwamba Rais Magufuli ndiye Rais pekee kupata kutokea tangu tupate Uhuru na kwamba kama kuna tatizo kubwa la kitaifa halijatatuliwa na yeye awali hii, hapatatokea Rais mwingine atakayekuwa na ubavu wa kulitatua; Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT wazalendo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hususani Twitter ameonesha takwimu na hivyo kusikitishwa na ongezeko la Deni la Taifa lisilomithilika.

Hapa nimewasogezea mtiririko wa 'tweets' (posts) nne ambazo Zitto ameziandika kupitia Twitter leo Sept 27, 2019.

1. Deni lote la Taifa ( Ndani na Nje ) limeongezeka kutoka shilingi Trilioni 43 mwaka 2015 Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mpaka shilingi Trilioni 65 mwezi Julai 2019! Ongezeko la Deni kiasi cha shilingi Trilioni 22, sawa na kukopa 5.5tr/mwaka, 0.5tr/mwezi, 17bn/Siku.

2. Serikali ya Awamu ya Tano imefikisha Deni la Nje USD 22 bilioni ndani ya miaka 4 tangu iingie madarakani. Serikali ya Rais John Magufuli katika miaka 4 imeliingiza Taifa katika Deni la USD 7 bilioni sawasawa na Deni lote lililokopwa katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete.

3. Serikali ya Awamu ya 4 ilipoingia Madarakani Deni la Taifa la Nje lilikuwa USD 8 billioni ( Novemba 2005 ). Wakati inaondoka madarakani, miaka 10 baadaye, Deni la Nje lilikuwa limefikia USD 15 bilioni ( Novemba 2015 ). Ongezeko la USD 7 bilioni.

4. Septemba 2015 gharama ya mishahara ya Wafanyakazi ilikuwa shs 523 bilioni. Mwaka 2016 na 2017 wakaondolewa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki. Gharama ya mishahara July 2019 ni shs 566 bilioni. Hakuna ajira mpya kiivo. Hakuna nyongeza ya mishahara kisheria, wafanyakazi wanalia kila siku. Wanaopanda vyeo hawalipwi mishahara ya vyeo vyeo vipya ( wafanyakazi wa Umma wanalia kila siku ). Masikini waliostaafu miaka 2 iliyopita mpaka leo hawajalipwa. HATUDANGANYIKI.


Kwakuwa Watanzania sio wajinga, nadhani ni vyema sasa tukatafakari kwa kina suala hili, tukizingatia tunavyozidi kuwa maskini kila uchwao tofauti na miaka iliyopita kabla ya 2015. Na kwamba kama dhumuni la kuwa na Serikali na Rais Mpya ni kuwa na maisha bora, na dhumuni hili halijatimia, je bado tutamchagua tena Magufuli 2020 au badala yake tutahakikisha tumchagua Rais Mpya, Serikali Mpya na Chama kimya Ikulu ili kuirejesha NCHI kwenye MISINGI ya MATUMAINI kwa VITENDO?

TUTAFAKARI.

ACT wazalendo tupo nanyi DAIMA!

Suphian Juma
Sept 27, 2019
Singida.View attachment 1217215
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom