Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.
"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, I acted alone I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.
Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?
Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)
Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.
"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, I acted alone I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.
Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?
Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)
acheni ushabiki.zitto ni mbinafsi mbona hakushirikisha viongozi wenzake.Zitto kaibuka mshindi kwa kumfunika sana Januari
Hata kama kuna shinikizo la Norway poa tu kwani hoja na mchakato wa Zitto una mashiko
HAPA ZITTO HAFANANISHWI TENA NA JANUARY
Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.
"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, I acted alone I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.
Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?
Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)
Whataver the case is! Jamaa
ana points za msingi! Katika wanasiasa 3 bora tanzania Zitto nae
yumo!
Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.
"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, I acted alone I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.
Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?
Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)
Huyo mwandishi sizani kama akili zake zinamtosha mwenyewe.Zitto ametumwa na wananchi bungeni sasa alitaka abuni mambo yake kichwani bila utafiti kuwa wananchi wanahitaji nini. Maana ya mbunge ni mtu mmoja kuwasilisha mawazo na kero za wananchi anaowawakilisha.
Nawewe unayeshabikia kwa kuleta thead hii bila kufikirisha vyema akili ,tuliza akili acha uvivu wa kufikiri.