Zitto ni kichwa,ngumi iwe
Kumbe unakijua kichwa cha Zitto eeh?
Zitto ni kichwa,ngumi iwe
mchecheto huo ha ha roho zinawauma ukawa big forceBila zzk, cdm inaporomoka
nawashauri nccr,cuf be carefull hawa cdm wanataka kupitia mgongo wenu baada ya kuona wamechemsha
Malaya wa kisiasa msaliti no 1atoe jibu gani huyo ni sitta wa ccj atawatosa tu ili mradi kafukila kakubali uwaziri aliomshauri akatae hana jinsi nikukimbiaMh.zitto mbona hueleweki hukusu ACT?kuwa wazi kama wewe ndio mwenyekiti kamili au la,maana unatuchanganya sana,hatujui uko upande gani,mara ulisema chadema upo na act upo sasa tushike lipi??
zito amesababisha chadema imepoteza mvuto
Ingepoteza mvuto ww ungekesha kwenye key board?.zito amesababisha chadema imepoteza mvuto