Zitto kabwe funguka

Zitto kabwe funguka

karekwachuza

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
999
Reaction score
335
Mh.zitto mbona hueleweki hukusu ACT?kuwa wazi kama wewe ndio mwenyekiti kamili au la,maana unatuchanganya sana,hatujui uko upande gani,mara ulisema chadema upo na act upo sasa tushike lipi??
 
Kufifia kisiasa kwa CDM ndio chanzo cha muungano na vyama vingine vya upinzani
"Ukweli unatabia ya kutopenda kupuuzwa"
Hili ni jambo dhahiri licha ya kua nitaandamwa na kejeli na kashfa yakiwemo matusi lakini kwa sasa CDM inafifia kwa kasi kubwa kisiasa na hii ndio sababu marubani wa chama hiki wakaamua kuungana na vyama vingine vya upinzani ili angalau kunusuru chama hiki na balaa la kufifia ama kufa kabisa kisiasa.
Ni nani hafaham kwamba Marubani wa chama hiki walishawahi kukaririwa mara kadhaa wakitoa kejeli kwa vyama vingine vya upinzani (CUF,NCCR...). CUF waliitwa CCM B, CUF walionekana wameoolewa na CCM hasa kwa kwa isue ya serikali ya umoja wa kitaifa kule zanzibar,
Leo imekuaje?
Poleni sana 2015 baada ya uchaguzi ndipo jibu litapatikana kwamba Hakuna CDM bila ZZK.
Leta hoja Matusi hapana,
karibuni kwa tafakari.
 
Zitto Anauwezo mkubwa wa ku-plan inabidi uwe una at least 1/2 yake kumuelewa
 
Last edited by a moderator:
Kufifia kisiasa kwa CDM ndio chanzo cha muungano na vyama vingine vya upinzani
"Ukweli unatabia ya kutopenda kupuuzwa"
Hili ni jambo dhahiri licha ya kua nitaandamwa na kejeli na kashfa yakiwemo matusi lakini kwa sasa CDM inafifia kwa kasi kubwa kisiasa na hii ndio sababu marubani wa chama hiki wakaamua kuungana na vyama vingine vya upinzani ili angalau kunusuru chama hiki na balaa la kufifia ama kufa kabisa kisiasa.
Ni nani hafaham kwamba Marubani wa chama hiki walishawahi kukaririwa mara kadhaa wakitoa kejeli kwa vyama vingine vya upinzani (CUF,NCCR...). CUF waliitwa CCM B, CUF walionekana wameoolewa na CCM hasa kwa kwa isue ya serikali ya umoja wa kitaifa kule zanzibar,
Leo imekuaje?
Poleni sana 2015 baada ya uchaguzi ndipo jibu litapatikana kwamba Hakuna CDM bila ZZK.
Leta hoja Matusi hapana,
karibuni kwa tafakari.

Huo ni ukweli mtupu,wanatumia mgongo wa ukwa baada ya kupoteza mvuto kwa wananchi,kwisha habari yao
 
Kufifia kisiasa kwa CDM ndio chanzo cha muungano na vyama vingine vya upinzani
"Ukweli unatabia ya kutopenda kupuuzwa"
Hili ni jambo dhahiri licha ya kua nitaandamwa na kejeli na kashfa yakiwemo matusi lakini kwa sasa CDM inafifia kwa kasi kubwa kisiasa na hii ndio sababu marubani wa chama hiki wakaamua kuungana na vyama vingine vya upinzani ili angalau kunusuru chama hiki na balaa la kufifia ama kufa kabisa kisiasa.
Ni nani hafaham kwamba Marubani wa chama hiki walishawahi kukaririwa mara kadhaa wakitoa kejeli kwa vyama vingine vya upinzani (CUF,NCCR...). CUF waliitwa CCM B, CUF walionekana wameoolewa na CCM hasa kwa kwa isue ya serikali ya umoja wa kitaifa kule zanzibar,
Leo imekuaje?
Poleni sana 2015 baada ya uchaguzi ndipo jibu litapatikana kwamba Hakuna CDM bila ZZK.
Leta hoja Matusi hapana,go
karibuni kwa tafakari.
go back to school dude.you don't know what you think about this point
 
zito anajiandaa kuwa mwenyekiti wa chadema taifa
 
Kufifia kisiasa kwa CDM ndio chanzo cha muungano na vyama vingine vya upinzani
"Ukweli unatabia ya kutopenda kupuuzwa"
Hili ni jambo dhahiri licha ya kua nitaandamwa na kejeli na kashfa yakiwemo matusi lakini kwa sasa CDM inafifia kwa kasi kubwa kisiasa na hii ndio sababu marubani wa chama hiki wakaamua kuungana na vyama vingine vya upinzani ili angalau kunusuru chama hiki na balaa la kufifia ama kufa kabisa kisiasa.
Ni nani hafaham kwamba Marubani wa chama hiki walishawahi kukaririwa mara kadhaa wakitoa kejeli kwa vyama vingine vya upinzani (CUF,NCCR...). CUF waliitwa CCM B, CUF walionekana wameoolewa na CCM hasa kwa kwa isue ya serikali ya umoja wa kitaifa kule zanzibar,
Leo imekuaje?
Poleni sana 2015 baada ya uchaguzi ndipo jibu litapatikana kwamba Hakuna CDM bila ZZK.
Leta hoja Matusi hapana,
karibuni kwa tafakari.

Haya tumekuelewa mtu mwenye ID nyingi.
 
Bila zzk, cdm inaporomoka
nawashauri nccr,cuf be carefull hawa cdm wanataka kupitia mgongo wenu baada ya kuona wamechemsha
 
Kufifia kisiasa kwa CDM ndio chanzo cha muungano na vyama vingine vya upinzani
"Ukweli unatabia ya kutopenda kupuuzwa"
Hili ni jambo dhahiri licha ya kua nitaandamwa na kejeli na kashfa yakiwemo matusi lakini kwa sasa CDM inafifia kwa kasi kubwa kisiasa na hii ndio sababu marubani wa chama hiki wakaamua kuungana na vyama vingine vya upinzani ili angalau kunusuru chama hiki na balaa la kufifia ama kufa kabisa kisiasa.
Ni nani hafaham kwamba Marubani wa chama hiki walishawahi kukaririwa mara kadhaa wakitoa kejeli kwa vyama vingine vya upinzani (CUF,NCCR...). CUF waliitwa CCM B, CUF walionekana wameoolewa na CCM hasa kwa kwa isue ya serikali ya umoja wa kitaifa kule zanzibar,
Leo imekuaje?
Poleni sana 2015 baada ya uchaguzi ndipo jibu litapatikana kwamba Hakuna CDM bila ZZK.
Leta hoja Matusi hapana,
karibuni kwa tafakari.

Ifweero jadili mada husika, usiingize chuki zako mahali pasipohusika. Mada inamhusu Zitto, wewe unajadili Chadema kuungana na vyama vingine!
 
Ifweero jadili mada husika, usiingize chuki zako mahali pasipohusika. Mada inamhusu Zitto, wewe unajadili Chadema kuungana na vyama vingine!

Ukweli unawauma, na tusubiri muda c mrefu tutapata majibu halisi ya sacco yenu.
 
Kufifia kisiasa kwa CDM ndio chanzo cha muungano na vyama vingine vya upinzani
"Ukweli unatabia ya kutopenda kupuuzwa"
Hili ni jambo dhahiri licha ya kua nitaandamwa na kejeli na kashfa yakiwemo matusi lakini kwa sasa CDM inafifia kwa kasi kubwa kisiasa na hii ndio sababu marubani wa chama hiki wakaamua kuungana na vyama vingine vya upinzani ili angalau kunusuru chama hiki na balaa la kufifia ama kufa kabisa kisiasa.
Ni nani hafaham kwamba Marubani wa chama hiki walishawahi kukaririwa mara kadhaa wakitoa kejeli kwa vyama vingine vya upinzani (CUF,NCCR...). CUF waliitwa CCM B, CUF walionekana wameoolewa na CCM hasa kwa kwa isue ya serikali ya umoja wa kitaifa kule zanzibar,
Leo imekuaje?
Poleni sana 2015 baada ya uchaguzi ndipo jibu litapatikana kwamba Hakuna CDM bila ZZK.
Leta hoja Matusi hapana,
karibuni kwa tafakari.

Hili kamasi mpelekee Jangili Kinana
 
Back
Top Bottom