Zitto Kabwe awa gumzo Tabora, amfunika Lowassa

Zitto Kabwe awa gumzo Tabora, amfunika Lowassa

Mzee Mkandara akili inachoka
Mkuu wala Akili haitachoka na wala usitegemee hilo kwa sababu mimi naamini Tanzania bora ni ile itakayo weza kuimarisha muungano. Tena ikiwezekana hadi EAC iwe nchi moja kama zilivyo USA au Canada. Tuwe na serikali moja kubwa na nyinginezo ndogo na hakuna mambo yasokuwa ya Muungano. Nguvu ya nchi hizo imetokana na muungano wao ambao kwa ukubwa tu sisi EAC tujumuishe wote pamoja ni sawa na states mbili tu za Marekani au Canada.

Kama wao wameweza unganisha nchi zaidi ya 12 kwa Canada na Marekani zaidi ya 50 sisi hizi 2 tunalilia kugawana umaskini kama tunavyokumbatia umaskini kugawama urithi wa mali waloacha wazazi wetu. Na lini ulosikia watu wakitajirika kwa kugawana mirathi kama sio mmoja kudhulumu wengine ama wote wameumbuka!

Siwezi kuungana na mawazo ya kuigawa Tanzania kwa maslahi ya wachache. Katiba bora imegeuzwa kuwa mpango wa wachache kugawanamadaraka. Hizi fikra za kina Jussa na Lissu wabakie nazo na tunawaachia UKAWA maana Chadema ndio hivyo. Nawafuata watu kama Nyerere, Abdulrahman Babu, Ghadaffi, Nkurumah na kadhalika.
 
Mwandishi wa hii thread ataenda motoni kwa ajili ya uongo wake. ni aibu kuzusha maneno kama haya kwa mtu mzima mwenye ufahamu. lowassa inawezekana hatumpend lakini kiukweli amepata mapokezi makubwa sana mpaka kero kwa watu wengine. huwezi mlinganisha na zitto hata kidogo na hivi sasa ndo naambiwa na huyu mtu kuwa zitto alikuwepo tbr. habar ya mjini tabora ni lowassa kila kona. sisi wengne wa vyama hivi najua tunakuwa tunaumia ila kuna hali inabidi tukubali tu ukweli. jamaa ana watu, ana watu weng sana lowassa kama anawanunua basi ana utajiri kupita wa bill gates. atakuwa nawalipa sh ngap hawa watu zaid ya elfu kumi? jaman kuna mambo tunatakiwa tu tukubali ukweli. jamaa wanampenda .... sijui why.
 
Siasa ina ushabiki, lakini ushabiki huu ni tofauti sana na ushabiki wa simba na yanga, man u na arsenal au Ali kiba na Diamond. Siasa ni kitu kinachogusa maisha yako hata kama hutaki kushabikia,siyo kitu cha mzahamzaha. Tuache ushabiki wa kimzahamzaha..ZITTO ni mwanasiasa bora wa kuigwa.
 
yose manzi ga nyanza. hakuna zzk wala low, wote yalex2. kiama chao october. UKAWAAAAAAA!!!!
 
Mwandishi wa hii thread ataenda motoni kwa ajili ya uongo wake. ni aibu kuzusha maneno kama haya kwa mtu mzima mwenye ufahamu. lowassa inawezekana hatumpend lakini kiukweli amepata mapokezi makubwa sana mpaka kero kwa watu wengine. huwezi mlinganisha na zitto hata kidogo na hivi sasa ndo naambiwa na huyu mtu kuwa zitto alikuwepo tbr. habar ya mjini tabora ni lowassa kila kona. sisi wengne wa vyama hivi najua tunakuwa tunaumia ila kuna hali inabidi tukubali tu ukweli. jamaa ana watu, ana watu weng sana lowassa kama anawanunua basi ana utajiri kupita wa bill gates. atakuwa nawalipa sh ngap hawa watu zaid ya elfu kumi? jaman kuna mambo tunatakiwa tu tukubali ukweli. jamaa wanampenda .... sijui why.

wewe ni chavi ndiomana unamtetea lowasa
habari ya tabora ni zito tu
 
Mkuu hivi Chadema wako wapi maana naona mada zote humu zinahusu uchaguzi wa CCM inakuwaje? Yaani inafika hadi mnaanza kuamini kuwa Zitto anaifunika CCM!

Duh!
AKili ....
Yani wewe unanagalia ushabiki wa JF ?
watu wapo FIELD huko VIjijini wewe unawasubiri humu?
 
Niko ndani ya mji wa tabora,nimeshuhudia ushawishi wa mwanasiasa maarufu sana hapa tanzania ndani ya mji wa tabora ndugu zitto zuberi kabwe,hapa mjini tabora bendera za act wazalendo chama ambacho zitto anakiongoza zimetapakaa mji mzima na vijiwe vyote ndani ya tabora ni mijadala kuhusu tukio la kesho kuzindua azimio la tabora,vijana na akina mama wanaonekana kuvutiwa na siasa anazofanya kijana machachali Zitto kabwe,,

Baadhi ya viongozi wa ACT wanaonekana mitaani wakiuza kadi za chama hiki kwa hamasa kubwa sana,hata lowassa alipofika hapa kutafuta wadhamini hakupata mapokeo kama haya aliyoyapata ndugi zitto kabwe.

Kesho jioni kutafanyika mkutano mkubwa wa hadhara wa kuzindua azimio la tabora kitu ambacho kinasubiriwa kwa hamu sana na wananchi wa tabora,hongera mdugu Zitto Kabwe

Kwani Zito na Lowassa wanashindana?, hizi akili za bangi mbaya sana
 
We mleta mada mbona mada yenyewe imekaa kishabiki shabiki, unaandika kama unatangaza mkutano kwenye gari la matangazo. ACT ilikufa siku ilipoanza. Sasa ilo ni azimio la Tabora au azimio la Zitto Kabwe?
 
Zito anadhani mganga wake anamsaidia!anajidanganya,ule ulikuwa ni umaarufu wa CHADEMA wala sio mganga.lakini haina noma coz wote matapeli
 
Kuna watu hawataki kusikia ukweli kuhusu zitto,hasa chadema,ila zitto ni zaidi ya umjuavyo,ni mwanasiasa makini na anayejiamini,tunaanza nziara kesho,mnyika tangulia kama kawaida yako

Nziara=Ziara!
 
kwa watanzania makini zito ni zaidi ya lowasa mara 1000% maana tanzania ya sasa haitaki rais anayetafuta kuabudia inamtaka rais mwenye mipango na dira ya watanzania masikini,lowasa hana kitu hicho anatafuta wamuabudu na kuwa mfalume bac,
 
Hii thread toka juzi ndio ipo page ya tatu hebu tujitahidi kujadili isionekane ACT imeyumba miezi ile zilikua threads nyingi na zilibamba au CCM wametuacha
 
Back
Top Bottom