Wakuu leo Mh Zito Kabwe ilikuwa ahutubie mkutano wa hadhara hapa wilayani Handeni. Lakini mamia ya wananchi waliojitokeza wamejikuta wakisubiri kwa muda mrefu bila mafanikio na hata viongozi wa CHADEMA wilayani hapa wameshindwa kuhutubia mkutano huo na kuwafanya wananchi kujiondokea bila kujua ni kitu gani kimetokea.