kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,325
kashanyea kambi huyu bwana mdogo!
kashanyea kambi huyu bwana mdogo!
GODBLESS Lema amechaguliwa wapi?
ZZK ni kichwa huwezi linganisha na Zero brain wengine too local
Sasa mbowe na slaa hapo wametokea wapi? Inaonekana kila unapokwenda hao watu wapo mdomoni mwako.:baby:kati ya wewe na Zitto nani kanyea kambi??we unafikiri kua katibu wa AFROPAC ni swala la kitoto??jamaa yako mbowe na slaa hawatapata bahati hiyo mpaka wanaingia karibuni!