Zitto Kabwe anahitaji ulinzi

naunga mkono hoja. nikikumbuka yaliyomtokea LISSU dodoma sina imani kabisa na usalama wa zitto. tunaomba waliokaribu na zitto wamwambie awe makini sana kipindi hiki.
..si alisema anatumia kamati za ufundi?,..
 
Mwenyewe alishasema mtu akitia maguu pale, kwao watakufa mpaka mende. Wakati akiwa CHADEMA kuna sakata silikumbuki alilishikia bango mpaka akafanyiwa figisu na kufukuzwa na kufungiwa vikao kadhaa vya bunge, wakatia anaondoka ndani ya mjengo wa bunge, kuna mbuge wa ccm alimnyooshea kidole kidharau flani hivi, Mzitto alipomaliza adhabu yake siku aliporejea bungeni, mbuge aliemnyooshea kidole hakuwa na kiganja.
 
wacha uoga mdogo wake zzk ndo mkuu wa kitengo cha murder jumba jeupe.
 
Kwa hiyo mzee wa msogani hakuwa mwislamu??? Mbna katuharibia nchi na ufisadi wake.
 
CAG yupo kwenye hatari sana , maana mara zote yuko nao , hawa watu hawana aibu hata kidogo
 
Reactions: BAK
Wakati wa Mpakanjia aliomba ulinzi?
 
.
sorry mkuu,waliwazonga zonga kiaje,,hao 2 si ni mawaziri wakuu wastaafu,ina maana ao unaosema waliwazonga zonga si ni walinzi wao mkuu daily au nakosea@
 
.
sorry mkuu,waliwazonga zonga kiaje,,hao 2 si ni mawaziri wakuu wastaafu,ina maana ao unaosema waliwazonga zonga si ni walinzi wao mkuu daily au nakosea@
Huelewi, walinzi wao wapo, ila walifatwa na convoy kutoka kitengo.
 
Huelewi, walinzi wao wapo, ila walifatwa na convoy kutoka kitengo.
.
to be honest ni lazima ingetokea na walilijua ilo,wale 2 hawakua just citizen, ni 'ex-prime ministers'',watu so powerful kuliko tunavyowaona wakitabasam kwny luninga,,sasa imagine wanaenda kwny kikao cha upinzan,lazima rabsharabsha zngetokea 2
 
Yanayotusibu na yajayo yanasikitisha
 
Itakuwa vizuri wewe upewe kazi hiyo ya kumlinda ili uwe na amani, kwa kuwa unadhani ulinzi uliopo sasa hautoshi, over.
 
mjinga kweli boya wewe,hujui hata gharama ya Bullet proof car.
 
Hakuna pesa iliyoibiwa,wala hakuna kitu kama hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…