Zitto Kabwe amzika rasmi Machali kisiasa

Zitto Kabwe amzika rasmi Machali kisiasa

machali hakulalamika we dada ndio unalalamika ajabu sana hii

...njoo kinyume nyume na chup. mkononi nikuoneshe udada wangu, na huyo zitto wako alete chupa ya ky jelly ashuhudie n'takachokufanya..
 
...njoo kinyume nyume na chup. mkononi nikuoneshe udada wangu, na huyo zitto wako alete chupa ya ky jelly ashuhudie n'takachokufanya..

chipsi mayai we mtoto,hapo ulitamani sana zitto apigwe chini
 
Moses Machali ajiunge na chama takachoanzisha Dr Slaa atasimama tena, ni mpiganaji mzuri. Kwa kweli Zitto ni mbaya sana.

..dr.mihogo aanzishe chama leo?! ataenda kukitangaza mikoani na kifimbo mkononi ati...mgongo ushaanza kupinda ule..!!
 
Vit maalum kwa mbunge mmoja mm binafc ciamin ktk siasa za zitto
 
Si utani zzk ni political genius, nilimuona siku moja tu pale zhakem mbagala akimnadi mgombea wake wa urais na baada ya hapo akamtelekeza. Kumbuka kabla ya hapo aliivuruga cdm akitaka urais lakini baada ya kuwa na chama chake akaususa!
Kawashawishi wenzie lakini Kafulila akashtuka na waliomkubali wamemsaidia kurejesha ubunge wake na kupata halmashauri ya kuiongoza yeye mwenyewe huku wao wote wakipoteza.
Ni lazima uwe na akili nyingi kukamilisha mipango kama hii!

Hivi maana ya genius wakijua weye? Hakuna genius kwenye dhuluma bali utapeli na ujambazi tuuuui
 
...mazoba hawatakuelewa! yanakomaa tu zito jembe, zito jembe, but kashindwa hata kumpa machali support ashinde?!

Wataelewa siku wakiwa wanaomba hela ya matibabu kutoka kwa watoto wao
 
Kama wiki ya mwisho ya kampeni angekuja kumpa kampani Machali siku mbili tu, leo wana ksl mjini aibu hii tusinge kuwa nayo siku 60 alionekana mara mbili tu
 
ukiangalia uso wa lema vipi?au wa mbowwe?
Hapa tunaongelea Zitto na Machali si Lema na Mbowe. Hao wawili hawana credibility ya Lema na Mbowe ni wasaliti tu walikutana kwa hiyo acha wanyooshane.
 
Si utani zzk ni political genius, nilimuona siku moja tu pale zhakem mbagala akimnadi mgombea wake wa urais na baada ya hapo akamtelekeza. Kumbuka kabla ya hapo aliivuruga cdm akitaka urais lakini baada ya kuwa na chama chake akaususa!
Kawashawishi wenzie lakini Kafulila akashtuka na waliomkubali wamemsaidia kurejesha ubunge wake na kupata halmashauri ya kuiongoza yeye mwenyewe huku wao wote wakipoteza.
Ni lazima uwe na akili nyingi kukamilisha mipango kama hii!

Nini maana ya genius? ? Naona maelezo yako hayaelezei mtu ambaye ni genius.
 
Naona wasumbufu wote wamepunguzwa Bungeni ikiwemo Machali
 
Za kuambiwa changanya na zako (alinena JK). nafikiri machali alikosa akili ya kujtambua akaamua kumfuata zito. sasa ameisoma namba.
 
Back
Top Bottom