Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Msaliti hana maisha marefu kwenye siasa. Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo waliandaa njama yakuivuruga CHADEMA , wakakamatwa na kufukuzwa. Akaenda kuanzisha chama chake kwa lengo lakuisambaratisha chadema . Amepambana awezavyo ameshindwa imemlazimu aamue kung'atuka chama kisife mikononi mwake.
Lakini alikuwa anakubalika sana kwenye jamii, leo hakuna mtu anayefuatilia siasa zake. Ameungana rasmi na akina Cheyo na Lipumba.
Waliomtuma kuivuruga chadema bado wanamfadhili au walishatumbuliwa ? Alifaidika nini na huo usaliti?
Lakini alikuwa anakubalika sana kwenye jamii, leo hakuna mtu anayefuatilia siasa zake. Ameungana rasmi na akina Cheyo na Lipumba.
Waliomtuma kuivuruga chadema bado wanamfadhili au walishatumbuliwa ? Alifaidika nini na huo usaliti?