Take care Magamba Kill squad at rampant!!Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya mashirika ya umma na mbunge wa kigoma kaskazini mh. Zitto kabwe amelazwa katika hospital ya agakhan baada ya kuugua ghafla vyanzo mbalimbali vya habari vimeeleza anaumwa maradhi yasijulikana hivyo basi natumia fursa kumuombea dua apone na Mwenyezi Mungu ampe afya njema ili aweze kuendelea na majukumu yake ya ujenzi wa taifa.
Acha kutusi waTanzania. Wewe mmalawi au?Mitanzania ilivyo na akili fupi wataanza kusema amepewa sumu.
mwenye info zaidi amwage..
anaumwa nini????????
----------
UPDATES:
Taarifa toka hospitali zinadai anaendelea kuchekiwa, kichwa ndicho kinamsumbua na ana 'bacterial infection'