Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo, hatutajiunga na UKAWA

Japkas

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
6,473
Zitto Kabwe
# ACTWazalendo Tutaingia kwenye uchaguzi wenyewe. We will go it alone as a party to defend our principles. Mkutano Mkuu wa Chama wa Kidemokrasia ( National Convention) utafanyika tarehe 10 Agosti 2015.

Hiyo ni post aliyoiweka kwenye mitandao ya kijamii Twitter na Facebook.

Wakuu JF,

Amani iwe Nanyi.
Ninajaribu kuoanisha kauli za Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe za Juzi na Leo.

Juzi alikaririwa kwenye Mitandao ya Kijamii akibashiri Mapinduzi Makubwa katika Siasa za Upinzani Tanzania,alienda Mbali zaidi na Ku refer Kilichotokea Kenya,2002 Pale Chama cha KANU kili0ong'olewa na Muungano wa Vyama vya Upinzani chini ya Mwai Kibaki.

Leo baada tu ya Mkutano wa UKAWA kuahirishwa the same Zitto anakuja kutoa tamko kuwa ACT itasimama kama yenyewe na haitajiunga na UKAWA.

Maswali

1. Kauli ya juzi kuwa tutashuhudia Mabadiliko Makubwa kwenye Siasa za Upinzani Kesho Jumatatu 27/7/2015 na kufananisha na Kenya 2002 ilikuwa na Maana gani hasa ?

2. Ni nani hasa aliyeihitaji ACT UKAWA Mpaka leo Kiongozi wao aseme hawana Mpango wa kwenda UKAWA.

2. Ni lini ameanza kuwa Msemaji wa Vyama vya Upinzani ?

3. He,tukisema kuwa ni Opportunist aliyekuwa ana expect leo Lowasa Kutangaza kuhamia upinzani/UKAWA na yeye kualikwa UKAWA tutakuwa tumekosea ?,Kuwa ameona Opportunity imeota Mbawa ?
 
Hayo yote ni madhara ya safari ya matumaini. Laigwanan Lowasa amewavuruga wengi na bado wengine wengi wanakuja na wataweweseka sana.
 
We will go it alone as a party to defend
our principles.

Oooh, unajua mimi ni msomi sana...

"Thus why am so wonders..."
 
Mbona kama wanajishtukia uchawi, nini kinawakimbiza wasishirikiane na wengine?
 
Inamaana mkataba wao na CCM utakuwa umeshakwisha ama wanataka kutuambia ya kuwa CCM yetu haita kuwepo. Waendelee na UKAWA yetu i.e ACT-CCM. ACT-CCM hoyeee....!
 
Aaahh kwendeeeee kuleeeeeeeeeee, kama hataki kuunganisha nguvu na wenzake, afieeeeeee mbali kuleeeee, Zitto bullshit...!!!

Act walituma barua ukawa kutaka kujiunga hadi leo haijajibiwa unafikiri watafanyaje zaidi ya kujipanga upya kivyao.
Wa kulaumiwa ni chadema ambao ni wabinafisi wanaofikiri wanaweza kuingia ikulu bila kushirikiana na vyama vingine.
Usishangae hata huu ukawa ukavunjika.
 
Act fyekeni pori msiwe na shaka wananchi tuko pamoja tutawapigia kura za kutosha za uraisi na ubunge hivyo mjiandae kushika dola.
 
Zitto Kabwe
# ACTWazalendo Tutaingia kwenye uchaguzi
wenyewe. We will go it alone as a party to defend
our principles. Mkutano Mkuu wa Chama wa
Kidemokrasia ( National Convention) utafanyika
tarehe 10 Agosti 2015

Hiyo ni post aliyoiweka kwenye mitandao ya kijamii Twitter na Facebook.

Bado tunangoja wale wabunge 50 wa kujiunga na ACT
 
Back
Top Bottom