HautaishaUlafi wa madaraka.
Mlafii Anataka YeyeZito ni kiongozi mjinga na mbinafsi sana.
The End justifies the MeansZitto kafilisika kisiasa na pia ni mchumia tumbo na asiyependa mabadiliko kwa kutetea uovu.Huyu toka enzi za Kikwete ni madaraka tu.Sasa kutoka kuwa mwenyekiti wa chama hadi ubunge hakuna uwiano.Atafute mbadala kwenye chama chake kwani hana jipya zaidi ya kutafuta maslahi binafsi na huruma ya CCM kwenye mambo yake.Atapita lakini si chaguo la wananchi ni la watawala kuonesha demokrasia ipo.
Kama unawaza unaweza kuleta mabadilimo kwakususa uchaguzi au kuzuia uchaguzi utakua utumii kichwa chako sawa sawa.Huyu ndiye mrudisha nyuma jitihada na kuleta mabadiliko ya kiuongozi nchi hii
SafiiW
Wewe ukipambana inatosha!!
Hakuna mwanasiasa hapoHuyu ndiye mrudisha nyuma jitihada na kuleta mabadiliko ya kiuongozi nchi hii