MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,993
- 34,867
Kwa hiyo wewe umesimama upande wa mwanga?acha ujuha wewe.
Ndio umeandika nini sasa? hizi shule za lowassa hizi!
Kwa hiyo wewe umesimama upande wa mwanga?acha ujuha wewe.
Tathmini nzuri sana ,nakupongezaWanajf, mnyukano uliokuwa ukiendelea hapa jf kati ya ZITTO na BEN umetufundisha mengi. Tukiamua kuhukumu kwa kutumia maelezo yaliyotolewa bila kuona vithibitisho waliosema wanavyo, ni kuwa BEN ameeleza vizuri tofauti na wengine walionesha wazi kuwa wanawachuki na viongozi wa chama hasa Dr Slaa kwani katika maelezo yao wameibua hoja zingine au wameporomosha matusi kwa viongozi hao hali inayotufanya tumwamini BEN katika maelezo yake.
ZITTO ni kamanda makini na mtetezi wa haki na rasilimali za taifa letu hilo hakuna atakayepinga namimi tokea mwanzo nilipenda ZITTO akabithiwe chama pindi kamanda Mbowe atakapoachia madaraka, lakini kwa tuhuma hizi hata kama si za kweli lakini itakuwa vigumu kumwamini ZITTO kwa kumpa madaraka ya juu ndani ya chama. kwa kuwa hatupendi kuwapoteza makamanda wenzetu, bado ZITTO ananafasi ya kuaminika ndani ya chama kama atafanya mambo yafuatayo;
[1] kujielekeza zaidi kujenga chama akishirikiana na makamanda wenzake.
[2] kuacha kuibua hoja zinazoleta mkanganyiko ndani ya chama.
[3] kushirikiana vizuri na viongozi wenzake katika masula mbalimbali.
[4] kuacha tabia ya kuonesha kupenda madaraka kuliko kuwatumikia wananchi.
[5] kuvumilia pale anapoona anakosewa na kisha kutatau kwa njia bora zaidi.
[6] kupunguza Ukigoma kwani hii inaibua ukanda na ukabila
[7] kuacha harakati za chinichini ambazo hazina manufaa kwa chama na taifa.
makamanda bado tunamuhitaji ZITTO tumshauri akituelewa tusahau yaliyopita na tuendeleze mapambano. Naomba kuwasilisha!!!.
teh teh..Zitto anatia husuma kweli.Ila ni kawaida ya psychopaths huwa wanajitahidi sana confuse watu, wanajitahidi sana changanya mambo at their own detriments. Nani kawaambia nyie kiwango duni kuwa "kutaja makosa ya mwenzio kunaondoa yako?huw akunaongezea tuu idadi ya waovu na kila mwovu atakuwa answerable kwa makosa yake.Dr.Slaa je? Manake naona kma kashfa nae anazo za kutosha. Big up kwa Lissu mpaka sasa.
8. Akubali kuburuzwa na genge la wachagga na wakaskazini kama kondoo!
Mnyukano huu wa vijana ambao taifa linawategemea kushika dola siyo mzuri.kama wote tunajenga nyumba moja kwanini tunagombea fito?
Hawako pamoja na wala hawajengi nyumba moja.Mnyukano huu wa vijana ambao taifa linawategemea kushika dola siyo mzuri.kama wote tunajenga nyumba moja kwanini tunagombea fito?
Makamanda wa kweli wote wanajulikana, najuwa masanini sijuwi, mp7 na sisiem watatumia kila mbinu kutuchanganya wananchi, ndio maana wameanza kutajataja jina la Lisu, subiri utasikia poison ya smiling snake hivi karibuni.teh teh..Zitto anatia husuma kweli.Ila ni kawaida ya psychopaths huwa wanajitahidi sana confuse watu, wanajitahidi sana changanya mambo at their own detriments. Nani kawaambia nyie kiwango duni kuwa "kutaja makosa ya mwenzio kunaondoa yako?huw akunaongezea tuu idadi ya waovu na kila mwovu atakuwa answerable kwa makosa yake.
my view is very clear.Zitto ni too desperate kuweza mfanyia rehab..km ten hana Mungu ni wazi ataishia kama Aliyempa joto Wema.Keshaingia maagano always ataanguka tuu, keshawaapia wazee kule jehanum, wale wazee wenye sura kama avator ya ritz ni nouma.Ni kama mbwa mwenye rabies .Ni vampire fulani. wame taja sana majina ya watu kuwachanganya, wamemtaja Mnyika kugombea nafasi ya mwenyekiti, Sijui na Julina msaidizi as if Julina na Mnyika ni kambi moja, halafu kama vile juliana ana hizo sifa zidi ya kiti maalumu.Hayo ni maagano waliyowekea kuzimu tuu.Siku hizi ndizo dili za wabongo.Hawa mazoma wakikumbuka sura za waliowawekea maagano wanasikia kufa, wanaskia mwili mwepesi kufanya aliyofanyiwa kafulia.Makamanda wa kweli wote wanajulikana, najuwa masanini sijuwi, mp7 na sisiem watatumia kila mbinu kutuchanganya wananchi, ndio maana wameanza kutajataja jina la Lisu, subiri utasikia poison ya smiling snake hivi karibuni.
comrade nimekukubali. Kwanza avator yako ni ya mtu namkubali.Kukubaki kabila lako ni sehemu ya kuwa mtu halafu kuongelea lilipo mezani tayari umeshamuabisha Zitto.Hivi keshwahi sema yeye ni kabila gani pale kigoma?Au anadhani bei ya dagaa imepanda sana kiasi anaweza iuza kama Tanzania, na hivyo kuwapanga wana kigoma kwa stayle ya psychopatic kutamsaidia sana kuwaibia, na kuwafanya watumwa.Mtumwa kuwa na watumwa inawezekana kweli?kwanini asingekuwa huru tuu pale CDM halafu ndipo afikirie huwa master.Ingawa ukishavaa utu kw akustaarabika ni Mungu tuu anakupa u- master.
8. Akubali kuburuzwa na genge la wachagga na wakaskazini kama kondoo!
Wanajf, mnyukano uliokuwa ukiendelea hapa jf kati ya ZITTO na BEN umetufundisha mengi. Tukiamua kuhukumu kwa kutumia maelezo yaliyotolewa bila kuona vithibitisho waliosema wanavyo, ni kuwa BEN ameeleza vizuri tofauti na wengine walionesha wazi kuwa wanawachuki na viongozi wa chama hasa Dr Slaa kwani katika maelezo yao wameibua hoja zingine au wameporomosha matusi kwa viongozi hao hali inayotufanya tumwamini BEN katika maelezo yake.
ZITTO ni kamanda makini na mtetezi wa haki na rasilimali za taifa letu hilo hakuna atakayepinga namimi tokea mwanzo nilipenda ZITTO akabithiwe chama pindi kamanda Mbowe atakapoachia madaraka, lakini kwa tuhuma hizi hata kama si za kweli lakini itakuwa vigumu kumwamini ZITTO kwa kumpa madaraka ya juu ndani ya chama. kwa kuwa hatupendi kuwapoteza makamanda wenzetu, bado ZITTO ananafasi ya kuaminika ndani ya chama kama atafanya mambo yafuatayo;
[1] kujielekeza zaidi kujenga chama akishirikiana na makamanda wenzake.
[2] kuacha kuibua hoja zinazoleta mkanganyiko ndani ya chama.
[3] kushirikiana vizuri na viongozi wenzake katika masula mbalimbali.
[4] kuacha tabia ya kuonesha kupenda madaraka kuliko kuwatumikia wananchi.
[5] kuvumilia pale anapoona anakosewa na kisha kutatau kwa njia bora zaidi.
[6] kupunguza Ukigoma kwani hii inaibua ukanda na ukabila
[7] kuacha harakati za chinichini ambazo hazina manufaa kwa chama na taifa.
makamanda bado tunamuhitaji ZITTO tumshauri akituelewa tusahau yaliyopita na tuendeleze mapambano. Naomba kuwasilisha!!!.