Wanajf, mnyukano uliokuwa ukiendelea hapa jf kati ya ZITTO na BEN umetufundisha mengi. Tukiamua kuhukumu kwa kutumia maelezo yaliyotolewa bila kuona vithibitisho waliosema wanavyo, ni kuwa BEN ameeleza vizuri tofauti na wengine walionesha wazi kuwa wanawachuki na viongozi wa chama hasa Dr Slaa kwani katika maelezo yao wameibua hoja zingine au wameporomosha matusi kwa viongozi hao hali inayotufanya tumwamini BEN katika maelezo yake.
ZITTO ni kamanda makini na mtetezi wa haki na rasilimali za taifa letu hilo hakuna atakayepinga namimi tokea mwanzo nilipenda ZITTO akabithiwe chama pindi kamanda Mbowe atakapoachia madaraka, lakini kwa tuhuma hizi hata kama si za kweli lakini itakuwa vigumu kumwamini ZITTO kwa kumpa madaraka ya juu ndani ya chama. kwa kuwa hatupendi kuwapoteza makamanda wenzetu, bado ZITTO ananafasi ya kuaminika ndani ya chama kama atafanya mambo yafuatayo;
[1] kujielekeza zaidi kujenga chama akishirikiana na makamanda wenzake.
[2] kuacha kuibua hoja zinazoleta mkanganyiko ndani ya chama.
[3] kushirikiana vizuri na viongozi wenzake katika masula mbalimbali.
[4] kuacha tabia ya kuonesha kupenda madaraka kuliko kuwatumikia wananchi.
[5] kuvumilia pale anapoona anakosewa na kisha kutatau kwa njia bora zaidi.
[6] kupunguza Ukigoma kwani hii inaibua ukanda na ukabila
[7] kuacha harakati za chinichini ambazo hazina manufaa kwa chama na taifa.
makamanda bado tunamuhitaji ZITTO tumshauri akituelewa tusahau yaliyopita na tuendeleze mapambano. Naomba kuwasilisha!!!.
ZITTO ni kamanda makini na mtetezi wa haki na rasilimali za taifa letu hilo hakuna atakayepinga namimi tokea mwanzo nilipenda ZITTO akabithiwe chama pindi kamanda Mbowe atakapoachia madaraka, lakini kwa tuhuma hizi hata kama si za kweli lakini itakuwa vigumu kumwamini ZITTO kwa kumpa madaraka ya juu ndani ya chama. kwa kuwa hatupendi kuwapoteza makamanda wenzetu, bado ZITTO ananafasi ya kuaminika ndani ya chama kama atafanya mambo yafuatayo;
[1] kujielekeza zaidi kujenga chama akishirikiana na makamanda wenzake.
[2] kuacha kuibua hoja zinazoleta mkanganyiko ndani ya chama.
[3] kushirikiana vizuri na viongozi wenzake katika masula mbalimbali.
[4] kuacha tabia ya kuonesha kupenda madaraka kuliko kuwatumikia wananchi.
[5] kuvumilia pale anapoona anakosewa na kisha kutatau kwa njia bora zaidi.
[6] kupunguza Ukigoma kwani hii inaibua ukanda na ukabila
[7] kuacha harakati za chinichini ambazo hazina manufaa kwa chama na taifa.
makamanda bado tunamuhitaji ZITTO tumshauri akituelewa tusahau yaliyopita na tuendeleze mapambano. Naomba kuwasilisha!!!.