lengo ni kujaribu kumchafua tu maana hamna uwezo wa kumchafua Mzalendo zitto badala ya kupiga kelele Dj mbowe na Padre Slaa waweke mali zao hadharani mnapiga kelele kwa mtu ambae wala hawahusu...Mtu mshamchomoa kwenye chama chenu cha kikanda sasa chokochoko za nini.Mume umemuacha mwenyewe kaenda kuoa mke mwingine wewe chokochoko hazihishi.....mjinga mmoja wewe
#Zitto