Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Zitto yuko busy na ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka Dar ,swala la mehela ya uswis ameshalisahau Mkuuule mfupa ni mzito kaka - unaweza jilaumu kwa nini ulijitangazia kuutafuna. your dealing with super power people who own billions and you don't have a single cent.
Haikuwa na mshiko ilikuwa promo... cku moja Gavana alisema uliona wapi watu wenye fedha chafu wakaweka fedha zao benki.Ile hoja yako ya mabilioni ya Uswisi imeishia wapi? Umeshapewa mrejesho wa Serikali juu ya kinachoendelea kuhusu hoja hii? Kumbuka Maazimio ya Richmond, Utetezi wa Lema nk
cc Zitto
ule mfupa ni mzito kaka - unaweza jilaumu kwa nini ulijitangazia kuutafuna. your dealing with super power people who own billions and you don't have a single cent.
Ile hoja yako ya mabilioni ya Uswisi imeishia wapi? Umeshapewa mrejesho wa Serikali juu ya kinachoendelea kuhusu hoja hii? Kumbuka Maazimio ya Richmond, Utetezi wa Lema nk
cc Zitto
Si mliambiwa mrejesho Bungeni ni Bunge la Mwezi April, 2013?? Au tumeishasahu???
Ile hoja yako ya mabilioni ya Uswisi imeishia wapi? Umeshapewa mrejesho wa Serikali juu ya kinachoendelea kuhusu hoja hii? Kumbuka Maazimio ya Richmond, Utetezi wa Lema nk
cc Zitto