The other day nilikuita mpumbavu ukasema nakutukana. Hivi kwa akili ndogo tu, kama Zitto ndio anaibeba CHADEMA na unaamini hivyo, inawezekanaje CHADEMA imburuze Zitto badala ya Zitto kuiburuza CHADEMA?
Nafikiri ni ule ujinga wa Kiarabu ndio unawasumbua. (mlituambia kuwa Gadafi aliwasomesha walibya bure mpk chuo kikuu at the same time mkalalama kuwa walibya wanarubuniwa na Marekani: wamesoma na bado hawana akili!!!!!!!!) Wewe kama unajua Zitto ni madhubuti basi huwezi kuwa wakili wake. Kama kuna baya analofanyiwa na atalisimamia.
Halafu kumbe unajua ni bunge letu, ww shida yako nini? Kama ulikimbia challenges za maisha ukaona ukawe mamsap wa mtu huko uarabuni, basi mambo ya Bongo waachie wenye Ubongo