ni kweli si mdini na si mkabila na hiyo ni nzuri lakini si mchama pia ni kweli maana haeleweki na hana mtizamo wa kichama na mkiwa na kiongozi ambaye amechaguliwa kwa sera za chama lakini hawezi kufuata ya sera,mtizamo na imani ya chama basi hafai kabisa.mbaya zaidi dogo hajitambui,kuwa yeye ni kijana,kiongozi mkubwa wa chama kinachotoa matumaini makubwa kwa watz.wewe matola pia una utusi ndani yako,alichosema mkamia nini,alichosema zitto ni nini?,na raisi kasema nini,wewe na mkamia wote sawa tu,hoja ya zitto ndio jibu la Ikulu,wewe na pm na spika wote hamkujua
Sidhani kama ni makosa kwa mwanasiasa kujihusisha na media. Tatizo ni majitaka yanayosambazwa na hayo magazeti dhidi ya wanasiasa wenginemwanahalisi ni la kina komu,nadhani unamjua komu ni wa chama gani...mwanahalisi haliwezi kuandika lolote baya la chadema huo ndio ukweli,na si sijui kwanini viongozi wa chadema wengi wanakimbilia biashara ya magazeti,komu mwanahlisi,zitto mwenyewe raia mwema,"mzee" tanzania daima..
Nilisoma gazeti la mwanahalisi la Jana na kuona jinsi Chadema ilivyojibu hoja ya Mh zitto Kuhusu Chanzo cha mazungumzo ya CHADEMA na rais JK.
Licha ya kuwa ile habari imetoka kwenye gazeti kama andishi, lkn ukiangalia kwa undani utagundua ilikuwa ni kauli ya Chama.
Hii tofauti na viongozi wengine wa Chama, huzungumza mengi ambayo kimsingi yanapingana na Chama. lkn uongozi wa juu hauchukui jitihada za kukanusha.tayari ztto alitoa makala kuhusu Uhusiano wake na Uongozi wa juu hasa baada ya kudai siku hizi hata patokee msiba haambiwi
jee kwanini imefikia hali hii
..........sijui watanzania tumerogwa na nani , badala ya kujadili hoja tumeingizwa chaka na wenye mawazo ama madogo au ya upande fulani, suala kilichoandikwa kina mashiko? Sio swala la nani kaandika, sasa hata katika akili ya kawaida tu unaona zitto yupo sahihi? Tayari suala lilishakuwa la chama, nani kaanzisha hoja sio suala la msingi sana kwa upande moja, hapa ukiangalia utaona hata kama ni kidogo jinsi zitto alivyo ama mbinafsi (kujiweka juu ya taasisi-cdm) au anavyopenda kushabikia umimi.....
Muheshimu Mjinga uepushe balaa...
ndani ya cdm hawa siwaanini shibuda, thelasini, zitto japo zitto anapambana na anajina kubwa lakini haaminiki.
kwani wewe ulimsikia wapi zitto akisema yeye ndio kaanzisha au na wewe unamchukia kutokana na dini yake ndio mana unajaribu kumsingizia kitu ambacho hakuwahi kkukisema popote?kwanini unajaribu kumnukuu mtu ambae amekaa kimya?unawezaje?
kwani kuna kitu gani mnajaribu kukificha?kama kweli regia alishinda huo si ndio ukweli sasa zitto kusema iwe ndio issue,acheni kumuandamana zitto nyie,mbona slaa anasema yeye ndio alishinda uchaguzi wa rais bila ushahidi na hakuna anaempinga huko cdm ila zitto kusema regina alishinda ndio tabu?hii kauli haina shida, inatusaidia kujua iq ya kiongozi tuliye naye.
cdm kwa nini mkiambiwa kuhusu udini mnaumia sana?kwanini lakini?kunguru kiwete udini wa nini hapo ???
Mada hii haina mshiko - Poor analysis
hivi wewe mleta unafiki hapa nikikwambia una masaburi ya kichina utakataa?
Nilisoma gazeti la mwanahalisi la Jana na kuona jinsi Chadema ilivyojibu hoja ya Mh zitto Kuhusu Chanzo cha mazungumzo ya CHADEMA na rais JK.
Licha ya kuwa ile habari imetoka kwenye gazeti kama andishi, lkn ukiangalia kwa undani utagundua ilikuwa ni kauli ya Chama.
Hii tofauti na viongozi wengine wa Chama, huzungumza mengi ambayo kimsingi yanapingana na Chama. lkn uongozi wa juu hauchukui jitihada za kukanusha.
Tayari ztto alitoa makala kuhusu Uhusiano wake na Uongozi wa juu hasa baada ya kudai siku hizi hata patokee msiba haambiwi
jee kwanini imefikia hali hii.
Mbona mnakwenda nje ya mada? Kwa kifupi ni kwamba Kubenea na Zitto hawaivi na bifu hili ni la siku nyingi.
Huwezi kuona katika Mwanahalisi Zitto anaandikwa kwa vizuri -- hata siku moja.
jawabu ni hilo -- mnakaa mnahangaika bure tu hapa na kutoa matusi.
Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.
Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.
wakati mwingine mnapokuwa kwenye misiba angalieni na kuweni macho mnapokuwa mnamlilia marehemu...kuna watu wanalia huku wakitoa wasifu wa marehemu hadi mtu unashangaa maana kuna mambo mengine hayapaswi kusemwa hadharani mfano hili: maneno haya hapa chini hayakupaswa kusemwa hadharani na mwombolezaji ...huku ni kutoa siri za ndani za chama..
Regia Alishinda kura za maoni katika mchakato wa ndani ya chama. Katika kikao cha Kamati Kuu mmoja wa Wakurugenzi wa Chama akasema tunaye mgombea mwingine mzuri sana, Mwanasheria. Regia akaombwa kukaa pembeni. Akakubali. Kamati Kuu ikampitisha mtu ambaye hakwenda kwenye kura za maoni na wala hatukuwa tunamjua maana tuliambiwa na mtu tunayemwamini kwamba ni mgombea mzuri. Regia hakufurahishwa na uamuzi ule lakini kwa heshima na utiifu wa hali ya juu akakubali kutogombea. Siku za kurejesha fomu za kugombea zilipokuwa zinakwisha yule mgombea akatoa nje. Hakuonekana, kwa sababu mbalimbali ambazo sisi tuliokuwa mbali na Dar es Salaam na Morogoro hatuzijui. Chama hakikuwa na namna isipokuwa kurudi kwa Regia kumwomba aokoe jahazi. Regia hakusita. Akaendesha kampeni za uhakika akiwa hana mali wala jina kisiasa.
Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.
Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.
Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake.
Nilisoma gazeti la mwanahalisi la Jana na kuona jinsi Chadema ilivyojibu hoja ya Mh zitto Kuhusu Chanzo cha mazungumzo ya CHADEMA na rais JK.
Licha ya kuwa ile habari imetoka kwenye gazeti kama andishi, lkn ukiangalia kwa undani utagundua ilikuwa ni kauli ya Chama.
Hii tofauti na viongozi wengine wa Chama, huzungumza mengi ambayo kimsingi yanapingana na Chama. lkn uongozi wa juu hauchukui jitihada za kukanusha.
Tayari ztto alitoa makala kuhusu Uhusiano wake na Uongozi wa juu hasa baada ya kudai siku hizi hata patokee msiba haambiwi
jee kwanini imefikia hali hii.
Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.
Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.
Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake.
cdm kwa nini mkiambiwa kuhusu udini mnaumia sana?kwanini lakini?