Zitto hatendewi haki ndani ya Chadema

wewe matola pia una utusi ndani yako,alichosema mkamia nini,alichosema zitto ni nini?,na raisi kasema nini,wewe na mkamia wote sawa tu,hoja ya zitto ndio jibu la Ikulu,wewe na pm na spika wote hamkujua
ni kweli si mdini na si mkabila na hiyo ni nzuri lakini si mchama pia ni kweli maana haeleweki na hana mtizamo wa kichama na mkiwa na kiongozi ambaye amechaguliwa kwa sera za chama lakini hawezi kufuata ya sera,mtizamo na imani ya chama basi hafai kabisa.mbaya zaidi dogo hajitambui,kuwa yeye ni kijana,kiongozi mkubwa wa chama kinachotoa matumaini makubwa kwa watz.
 
Sidhani kama ni makosa kwa mwanasiasa kujihusisha na media. Tatizo ni majitaka yanayosambazwa na hayo magazeti dhidi ya wanasiasa wengine
 
Mada hii haina mshiko - Poor analysis
 

Kifupi katika vichwa ambavyo vinaibeba Chadema ni Zitto. Ni kijana mahiri na mara zote ana hoja nzito sana na za kiungwana zisizotawaliwa na jazba kama akina Lisu na Mnyika na wengine wengi ndani ya Bunge lenu.

Huyo kwa namna yoyote anaogopeka sana kuweza kuchukua nafasi ya juu kabisa ndani ya Chadema ndio maana sasa wameanza kumzuia zuia.

Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake.

 

kwani wewe ulimsikia wapi zitto akisema yeye ndio kaanzisha au na wewe unamchukia kutokana na dini yake ndio mana unajaribu kumsingizia kitu ambacho hakuwahi kkukisema popote?kwanini unajaribu kumnukuu mtu ambae amekaa kimya?unawezaje?
 
Muheshimu Mjinga uepushe balaa...

Well said mkuu ukishaona lugha chafu zinaingia kwenye hoja huyo mtu ni wa kumwepuka manake arguing with a fool.......... ila mwambie vile vile hiyo nafasi hata kama ilikuwepo huwezi pata tena manake hata ile ya Regia nayo ashapewa yule binti wa Paresso kutoka Karatu........
 
kwani wewe ulimsikia wapi zitto akisema yeye ndio kaanzisha au na wewe unamchukia kutokana na dini yake ndio mana unajaribu kumsingizia kitu ambacho hakuwahi kkukisema popote?kwanini unajaribu kumnukuu mtu ambae amekaa kimya?unawezaje?

Kunguru kiwete udini wa nini hapo ???
 
hii kauli haina shida, inatusaidia kujua iq ya kiongozi tuliye naye.
kwani kuna kitu gani mnajaribu kukificha?kama kweli regia alishinda huo si ndio ukweli sasa zitto kusema iwe ndio issue,acheni kumuandamana zitto nyie,mbona slaa anasema yeye ndio alishinda uchaguzi wa rais bila ushahidi na hakuna anaempinga huko cdm ila zitto kusema regina alishinda ndio tabu?
 
Mada hii haina mshiko - Poor analysis

Nldhani peke yangu, kumbe na wewe umesoma!
Ni utumbo mtupu licha ya poor analysis hamna attached evidence!
Hili jukwaa limekuwa jepesi sana saiv!
 

Acha umbea dadaangu, kwani Zitto kakulalamikia???????. (Jinsia yako nimefanya kukisia kama ni mkaka niwie radhi)
 

Na bifu lilisababishwa na mbowe kumtumia kubenea kumchafua zitto kipindi kile alipoona anatishia cheo chake,aliwahi kufanya hivyo pia kwa marehemu chacha wangwe,tatizo mbowe hapendi kuwa tested,anataka awe anagombea bila kupingwa cdm tukiwaeleza hili wanakasirika wanadai tumetumwa na nape lakini kimoyo moyo wanajua tunasema ukweli....kuna uswahiba wa kutia shaka sana kati ya kubenea na mbowe,mpaka watu wanaowajua wanahisi kuna zaidi ya urafiki wa kawaida,fuatilieni hili mtajua.
 


Unaweza kuwa na pointi nzuri lakini tatizo lako umebase upande mmoja tu wa shilingi (udini udini) kwa nini udini? Mfano mdogo sana ni kwa Mhe. Mnyika hana jazba hizo unazozisema anapoprizenti hoja zake....mara chache sana hutokea hvyo lakini kwa wabunge wanaopafomu vizuri pale mjengoni ni huyu kijana wa Ubungo, naamini angekua muislaam usingemuweka kwny group moja na Lissu.
Hebu punguza kuhusisha udini japo kidogo then unaweza ukaeleweka kwa uzuri zaidi.

"(Tatizo kubwa la Zitto kwa Chadema ni kuwa hana share katika Chademe na kubwa zaidi ni ukanda aliotokea sio chimbuko lakini zito zaidi ni Dini yake. ===>NINI SASA HII?)"

 

Kuongea ukweli nako ni kutoa siri za chama? Hii article inaonyesha jinsi gani Regia (RIP) alikuwa mvumilivu na mwenye kujali maslahi ya chama chake, pamoja na kwamba pia inaonyesha kuna siasa za ushikaji ndani ya Chadema (kitu ambacho wote tunakijua); lengo kuu ilikuwa ni kuonyesha jinsi gani marehemu Regia alikuwa amekomaa kisiasa, mnajaribu sana kumpaka matope Zitto ili kuficha udhaifu wa Chadema, mara Zitto alikwenda kulala mapema na kuwaacha wazee kwenye matanga ya Regia hivi leo mmesahau Zitto alifanyiwa operesheni ya kichwa? Hebu jaribuni kutafuta kiini halisi cha matatizo ndani ya uongozi wa Chadema. Inawezekana Zitto anachangia 10% jiulizeni hii 90% ipo kwa kina nani?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 

wewe ndiye aliyevulunda kabisaaa, nguvu nyingi kumbe pumb, la udini linakujaje hapa, kama ni udini angalia Dr. Slaa alivyopokelewa hapo zenj. umaarufu ni chama chenyewe sio mtu binafsi.
 

acha uchonganishi.kakuambia hatendewi haki au umesikia akibwata kuwa hatendewi haki.MODS ondoa hii thread
 

Unapoweka udini ndipo unapoonekana mpuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…