Zitto hatendewi haki ndani ya Chadema

Mwanahalisi ni Gazeti la kipuuzi sana, Kubenea, nae anataka ubunge, kumbe maneno mengi kujipendekeza kwa Slaa, kumbe nia yake nae ubunge.
Na wewe ni lini utakuwa na akili timamu? Slaa ana uwezo gani wa kumpa Ubunge Kubenea? hivi hili nalo linahitaji degree kulifahamu!!
 
Gazeti la mwanahalisi halimilikiwi na chadema,kwanza naliamini kwa reliable niuz na lipo independent,hebu mtoa hoja tueleze kiongozi wa chadema alohojiwa hapo.NAAMINI UMETUMWA KWANI HUELEWI MAANA YA MAKALA? Mwambie zitto NCCR wanamtamani sana

Anthony Komu ni nani ndani ya chadema? na si ndo mmiliki wa mwana halisi?
 

Hizi ni Akili za Kunguru mgonjwa aise!! Yaani wewe hupo apa JF kupangia watu majukwaa ya kutembelea? JF sio wajinga kuweka majukwaa tofauti walikuwa wanajua kuwa kila mtu ruksa kutembelea jukwaa alipendalo.
 
Asikuumize kichwa kaahidiwa katika mgawo mpya wa posho
 
wakati mwingine mnapokuwa kwenye misiba angalieni na kuweni macho mnapokuwa mnamlilia marehemu...kuna watu wanalia huku wakitoa wasifu wa marehemu hadi mtu unashangaa maana kuna mambo mengine hayapaswi kusemwa hadharani mfano hili: maneno haya hapa chini hayakupaswa kusemwa hadharani na mwombolezaji ...huku ni kutoa siri za ndani za chama..

Regia Alishinda kura za maoni katika mchakato wa ndani ya chama. Katika kikao cha Kamati Kuu mmoja wa Wakurugenzi wa Chama akasema tunaye mgombea mwingine mzuri sana, Mwanasheria. Regia akaombwa kukaa pembeni. Akakubali. Kamati Kuu ikampitisha mtu ambaye hakwenda kwenye kura za maoni na wala hatukuwa tunamjua maana tuliambiwa na mtu tunayemwamini kwamba ni mgombea mzuri. Regia hakufurahishwa na uamuzi ule lakini kwa heshima na utiifu wa hali ya juu akakubali kutogombea. Siku za kurejesha fomu za kugombea zilipokuwa zinakwisha yule mgombea akatoa nje. Hakuonekana, kwa sababu mbalimbali ambazo sisi tuliokuwa mbali na Dar es Salaam na Morogoro hatuzijui. Chama hakikuwa na namna isipokuwa kurudi kwa Regia kumwomba aokoe jahazi. Regia hakusita. Akaendesha kampeni za uhakika akiwa hana mali wala jina kisiasa.
 
..........sijui watanzania tumerogwa na nani , badala ya kujadili hoja tumeingizwa chaka na wenye mawazo ama madogo au ya upande fulani, suala kilichoandikwa kina mashiko?

sio swala la nani kaandika, sasa hata katika akili ya kawaida tu unaona zitto yupo sahihi? tayari suala lilishakuwa la chama, nani kaanzisha hoja sio suala la msingi sana kwa upande moja, hapa ukiangalia utaona hata kama ni kidogo jinsi zitto alivyo ama mbinafsi (kujiweka juu ya taasisi-cdm) au anavyopenda kushabikia umimi.....
 
Mwanahalisi ni Gazeti la kipuuzi sana, Kubenea, nae anataka ubunge, kumbe maneno mengi kujipendekeza kwa Slaa, kumbe nia yake nae ubunge.
...........baba hata ww kwa porojo unaziweza!!!!!!!!!!!!
 

Hii kauli haina shida, inatusaidia kujua IQ ya kiongozi tuliye naye.
 
Hii ni moja tu kati ya rangi nyingi nyekundu ilizonazo Chadema.
 
Hivi wewe mleta unafiki hapa nikikwambia una masaburi ya kichina utakataa?
 
Mbona mnakwenda nje ya mada? Kwa kifupi ni kwamba Kubenea na Zitto hawaivi na bifu hili ni la siku nyingi.
Huwezi kuona katika Mwanahalisi Zitto anaandikwa kwa vizuri -- hata siku moja.

jawabu ni hilo -- mnakaa mnahangaika bure tu hapa na kutoa matusi.
 
Jamani tusitumie muda mwingi kujadiri hoja isiyokuwa na maana, huyu jamaa aneleta maada hana maana na zaidi anataka kutuchanganya tu, anaweza kuwa Nepi
 
Mkuu karibu sana Jf!!
Ila umekuja kwa kasi ya kitimoto!!

"amani"
 
Ninacho fahamu mimi misuguano ndani ya chama ipo hasa kwa hawa viongozi wetu wa juu.Huwa wanatengeneza makambi yao sasa vitu kama hivi ni vya kawaida ila kinachotokea ni baadhi ya waandishi kuchukulia udhaifu huo kuuza magazeti yao
 
si wote tuliosoma hilo gazeti hvy ni bora uweke mambo yaliyoandikwa.

wala usihangaike kulitafuta, ni moja kati ya nakala za hovyo za mwanahalisi nilizowahi kununua. Wametoa title front page kuwa eti Zitto alimzushia Regia. Kamzushiaje?? Eti kitendo cha Zitto kusema Regia ndie aliyetoa wazo la kwenda kumwona rais Zitto amezusha eti haikuwa kweli, wao mwanahalisi wanadai waliulizia kwenye vyanzo vyao ndani ya chadema na chadema wakasema eti ulikuwa ni uamuzi wa sekretarieti.
Kwenye hili Mwanahalisi wameonyesha chuki yao tu ya wazi kwa Zitto kwasababu hata Slaa(PhD) alisema mwenyewe kwenye ibada ya kumuaga Regia pale Karimjee kuwa wazo la kwenda kumwona Rais lilikuwa la Regia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…