Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,689
1. hiyo kauli imetolewa na kiongozi yupi wa CDM ?
2.JE MWANAHALISI NI MSEMAJI WA CDM?
3.zitto anaonewa kivipi na CDM? labda useme mwanahalisi anamwonea zitto ila NAKATAA as mwanahalisi ametoa ufafanuzi mzuri so ni wajibu wa Zitto naye kutoa maelezo ya ziada incase
4.Mwanahalisi hambebi/hamkandamizi mtu yeyote ila anabeba hoja..Ikiwa JK atakuja na hoja ya maana mwanahalisi ataianisha na ikitokea Slaa kaja na pumba tutaelezwa pia
Si kweli unayosema mtoa mada.Gazeti la mwanahalisi halijamtaja mtu.Isipokuwa ninachojua Mwanahalisi wana bifu kubwa na Zitto.
Sijui chanzo cha ugomvi wao kwani Zitto aliwahi naye kunukuliwa akisema mhariri wa mwanahalisi ameishia darasa la nne.Kwa hiyo ni vita yao wenyewe.Lakini nadhani umefika wakati Zitto na Kubenea wapatane.
Waachane na vita yao.Wanaweza hata kumtumia Dr Slaa kuwapatanisha.Na hilo linawezeka kwa sababu kwanza wote ni wanaChadema na pili hata kiimani wote ni waislam.Wanaweza kupatana na maisha yakasonga mbele.Naamini wote wako humu jamvini na watatafakari ushauri wangu.
Gazeti la mwanahalisi halimilikiwi na chadema,kwanza naliamini kwa reliable niuz na lipo independent,hebu mtoa hoja tueleze kiongozi wa chadema alohojiwa hapo.NAAMINI UMETUMWA KWANI HUELEWI MAANA YA MAKALA? Mwambie zitto NCCR wanamtamani sana
Alichokataa juma Nkamia juzi na kumsuta zitto sasa kimebainika ni ukweli hasa mara baada ya kauli toka ikulu,Zitto akurupuki hata siku moja.
wacha majungu ww, zitto sio kipofu wala kiziwi, anajua kusema na anaona, tabia za umbea peleka kwny forums za udaku. aggghrrrNilisoma gazeti la mwanahalisi la Jana na kuona jinsi Chadema ilivyojibu hoja ya Mh zitto Kuhusu Chanzo cha mazungumzo ya CHADEMA na rais JK.
Licha ya kuwa ile habari imetoka kwenye gazeti kama andishi, lkn ukiangalia kwa undani utagundua ilikuwa ni kauli ya Chama.
Hii tofauti na viongozi wengine wa Chama, huzungumza mengi ambayo kimsingi yanapingana na Chama. lkn uongozi wa juu hauchukui jitihada za kukanusha.tayari ztto alitoa makala kuhusu Uhusiano wake na Uongozi wa juu hasa baada ya kudai siku hizi hata patokee msiba haambiwi
jee kwanini imefikia hali hii
Hata mimi huwa sizishangai ID mpya kama hii ambayo umeiregister jana na leo tu umekuwa kasuku, na wala majukwaa mengine huendi ni hapa tu kwenye siasa mnapopatia mkate wenu wa kila siku, huko tuendako msipotafuta kazi za kufanya nakuhakikishia mtauza mpaka miili yenu maana wenye pesa wote sasa wameshakuwa mabasha.chadema cha wakatoliki. Usishangae
Hata mimi huwa sizishangai ID mpya kama hii ambayo umeiregister jana na leo tu umekuwa kasuku, na wala majukwaa mengine huendi ni hapa tu kwenye siasa mnapopatia mkate wenu wa kila siku, huko tuendako msipotafuta kazi za kufanya nakuhakikishia mtauza mpaka miili yenu maana wenye pesa wote sasa wameshakuwa mabasha.
Tafuteni kazi za kufanya jamani!!
ni kweli mkuu,halafu ukikumbuka taarifa ya zitto aliyoitoa kama tanzia nadhani yenye kichwa cha habari "Nikuageje Rejia" alichomeka mambo mengi yasiyohusu maombolezo na kwa kweli ilikuwa na malengo maovu kuliko mema.kiukweli siku huyu dogo akiondoka katika chama hiki au akifukuzwa mimi nashangilia na sioni kwa nini hafukuzwi chamani?
wewe matola pia una utusi ndani yako,alichosema mkamia nini,alichosema zitto ni nini?,na raisi kasema nini,wewe na mkamia wote sawa tu,hoja ya zitto ndio jibu la Ikulu,wewe na pm na spika wote hamkujuaZitto Kabwe ana kiherehere sana hata juzi Juma Mkamia aliomba muongozo ili ajuwe kwamba Zitto Kabwe nae ni miongoni mwa wasemaji wa ikulu!!??
Watu wa Kigoma kwenye siasa wana matatizo sana hasa hawa ambao wamechanganyika na utusi ndani yake.
ukiwa chadema hahiatji miezi 3, i min inatosha tu mkuumods naomba id mpya zipewe miezi mitztu wa kuwa chini ya uangalizi kabla ya kupost vitu humu.
Maana tunaumiza vichwa kumbe mtu kala buku 2 ili aje kuvuruga jukwaa.
Asanteni kwa kunisikiliza.
1. hiyo kauli imetolewa na kiongozi yupi wa CDM ?
2.JE MWANAHALISI NI MSEMAJI WA CDM?
3.zitto anaonewa kivipi na CDM? labda useme mwanahalisi anamwonea zitto ila NAKATAA as mwanahalisi ametoa ufafanuzi mzuri so ni wajibu wa Zitto naye kutoa maelezo ya ziada incase
4.Mwanahalisi hambebi/hamkandamizi mtu yeyote ila anabeba hoja..Ikiwa JK atakuja na hoja ya maana mwanahalisi ataianisha na ikitokea Slaa kaja na pumba tutaelezwa pia
Zitto Kabwe ana kiherehere sana hata juzi Juma Mkamia aliomba muongozo ili ajuwe kwamba Zitto Kabwe nae ni miongoni mwa wasemaji wa ikulu!!??
Watu wa Kigoma kwenye siasa wana matatizo sana hasa hawa ambao wamechanganyika na utusi ndani yake.
mods naomba id mpya zipewe miezi mitztu wa kuwa chini ya uangalizi kabla ya kupost vitu humu.
maana tunaumiza vichwa kumbe mtu kala buku 2 ili aje kuvuruga jukwaa.
asanteni kwa kunisikiliza.
mods naomba id mpya zipewe miezi mitztu wa kuwa chini ya uangalizi kabla ya kupost vitu humu.
maana tunaumiza vichwa kumbe mtu kala buku 2 ili aje kuvuruga jukwaa.
asanteni kwa kunisikiliza.