Margwe JF-Expert Member Apr 30, 2008 255 48 Dec 6, 2013 #1 Kwa muda nimekuwa nikifuatilia sakata la Kapuya. Nimeona imekuwa overtaken na movie ya Zitto, Chadema na sasa nategemea Mandela ataongoza headlines! Kweli bongo kila kitu upepo tu unapita tu.
Kwa muda nimekuwa nikifuatilia sakata la Kapuya. Nimeona imekuwa overtaken na movie ya Zitto, Chadema na sasa nategemea Mandela ataongoza headlines! Kweli bongo kila kitu upepo tu unapita tu.
Kitaja JF-Expert Member Jun 14, 2011 2,836 1,381 Dec 6, 2013 #2 Kapuya asidhani watanzania wamesahau, bado tuko nae tu hadi sheria ichukue mkondo wake.
Rock City JF-Expert Member Feb 11, 2012 1,266 501 Dec 6, 2013 #3 Yaani Kapuya saga limesahaulika, lipo Kapuni sasa. Jamaa anayo bahati.