Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
"Mnajua kwamba tunapambana kwa ajili ya mgombea wetu wa urais, kesi inaendelea. Tunatarajia hivi karibuni tutapata maamuzi, na sisi tumejiandaa kesi itakapokishwa tu. Hata kama zimebaki siku kumi, tutatumia hizo hizo kuendelea kutafuta kura, na tunafahamu Chama cha Mapinduzi kinamuogopa sana Mpina, na sababu ya kumuogopa wanajua wao walikuwa nae ndani ya chama chao.
Zitto Kabwe, akimuombea kura mgombea ubunge jimbo la Mbagala, Jamal Rwambow, kwa tiketi ya chama hicho pamoja na madiwani wa kata ya Kijichi na Mbagala Kuu, wakati wa kampeni ya nyumba kwa nyumba iliyofanyika jimboni hapo, mkoani Dar es Salaam, Oktoba 01, 2025."
Zitto Kabwe, akimuombea kura mgombea ubunge jimbo la Mbagala, Jamal Rwambow, kwa tiketi ya chama hicho pamoja na madiwani wa kata ya Kijichi na Mbagala Kuu, wakati wa kampeni ya nyumba kwa nyumba iliyofanyika jimboni hapo, mkoani Dar es Salaam, Oktoba 01, 2025."