Zitto, Bashe Nao Kuwindwa Na Wang'oa Kucha!

Zitto, Bashe Nao Kuwindwa Na Wang'oa Kucha!

Inaonekana Lowassa ni chaguo la media za TZ. Tayari ana endorsement ya New habari leo, mwananchi ltd., na mengine. Kwa mwenendo huu inawezekana kabisa TZ na sisi tutakuwa na rais mtuhumiwa (wa wizi na ufisadi) - kama Kenya walivyo na rais wao mtuhumiwa (wa mauaji ya kimbari na ubakaji)
 
Sasa hapa umeandika nini?<br />
<br />
<br />
By my web<br />
hata kama ningekuwa mimi mwanaharisi ningepiga china wahariri wote wangekwenda jera maramoja hata tanzania daima lisingekuwapo mtaani
Tatizo la kutokuwa na mtaala wa Elimu hivyo usimlaumu.
 
Polisi wanawinda watu; watu wanawinda polisi; wanasiasa wanawindwa na polisi; polisi wanawinda wanasiasa; watu wanawindana; wanasiasa wanawindana; waandishi wa habari wanawindwa; waandishi wa habari wanawindana; Zitto anawindwa, Msacky anawindwa, Kibanda anawindwa, Mwigamba anawindwa, kila mwandishi anawindwa. Makundi ya Urais ndani ya vyama vya siasa yanasababisha watanzania wawindane. Njama zinapangwa kuwawekea watu dwa za kulevya na kuwateka, watu wanamwagiwa tindikali na hata huenda wanapigwa nondo vichwani. JF tunawindana! Nchi imejaa wawindaji na wawindwaji sasa ni timing kama ya kumuua kobe ukichez uanamwagiwa tindikali, unapata ajali, unang'olewa meno, unang'olewa kucha hata kung'olewa macho.


Eee mola tunusuru tuipite salama 2015 manake naona mateso yanainyemelea nchi.

Nahisi hata mimi nawindwa.......tukutane uwanjani 2015
 
Ha ha ha ha Mkuu Kimbunga unajua tafsiri ya yote hayo ni nini?

1.Hatuko salama-Tuliowapa jukumu la kutulinda (Serikali) hawako serious.Mfano rahisi bwana kimunga,wewe uvamiwe lada na majambazi eneo la tabata nyumbani kwako usiku,ukawashtukia majambazi kabla hawajaingia ukwapiga simu polisi,kwanza aidha wasiipokee simu au wakipokea hawatakuja au waje kesho yake.Wana msaada gani sasa.

2.Hakuna wa kumwamini-Sio wanasiasa ,sio wanausalama na sio serikali na sio waandishi wa ajabu.

3.Aidha waandishi wa habari wanatumika vibaya kuilisha jamii sumu.Inawezekana kati ya haya kuna matukio ya kawaidia kabisa mfano kuibiwa laptop but Likakuzwa.Waandishi wa habari wana uwezo mkubwa wa kuiharibu jamii yetu.

Ila kiukweli;HATUKO SALAMA.

Mama wa tatizo ni hili ombwe la uongozi tulilonalo. Kikwete haoni futi mbili mbele. Na mpaka tuje tutoke kwenye hii vsual circle aliyoiasisi itachukuwa muda sn. Madhara yake yataenda mbali zaidi ya miaka 10
 
ulichokosea ni kusema kwamba,Zito anamaadui ndani ya chadema hilo si kweli chadema sio kama ccm yenye makundi na uadui. wewe unachotaka kufanya ni kuwaambukisa chadema umagamba
 
Mama wa tatizo ni hili ombwe la uongozi tulilonalo. Kikwete haoni futi mbili mbele. Na mpaka tuje tutoke kwenye hii vsual circle aliyoiasisi itachukuwa muda sn. Madhara yake yataenda mbali zaidi ya miaka 10
ombwe la uongozi ndicho kiini cha yote haya,huwa najiuliza baada ya matukio mengi ya kiuaji,kijinga na kipuuzi wameusishwa watu kama Mwigulu na Wasira ilikuaje bado chama chao hakikuwachukulia hatua za kinidhamu? na hapa ndipo huwa napata taabu kuelewa inakuaje watu wanaojiita wasafi ktk CCM wanaendelea kukaa kimya? ukimya wao kwa matukio mengi ya kinyama yanayo tendwa na wana CCM wenzao kwa ushirikiano na baadhi ya watu kt vyombo vya usalama na serikali hayataishia hapa,kuna wahanga wengi wako njiani,wakiwemo wao!
 
hiki ni kizunguzungu kikali! FBI iko wapi? Nikama vile TISS wameshindwa kazi! Zimwi likujualo......
Sisi raia wakawaida tusiojua hata kurusha ngumi! Mungu atuimarishie self defence ya kukimbia over vogue, maana hawa maharamia wakikuweka kati ni HATARI!
TISS haiwezi kuingiliwa namna ile alafu ikawa natija kamwe msilitegemee hilo
 
HAPA WENGI WANAOJIITA MAKAMANDA WATAIPONDA MAKALA HII KISA ZZK KATAJWA KUWA ANA MAADUI NDANI CHAMA CHAKE.
HUU NI UKWELI USIOPINGIKA KUWA Mh ZZK ANAWINDWA NA TATIZO URAISI.
NILISHAWAHI SEMA KUWA ZZK ANATUMIKA NA CHAMA CHAKE NA HAWATOKUWA TAYARI KUMUONA AKIGOMBEA NAFASI YA JUU KABISA NDANI YA CHAMA CHAKE.
TUPO NA TUTAONA MENGI.
 

hapo kwenye red, yaliyobaki yote ni poojo. Hata mtoto mdogo analijua hilo.

nashangaa umejifanya kipofu. kule kwa lwakatare unasema imekuwa fabricated ile cd ila huku kwa polisi kitu ambacho ni rahisi kuvaa nguo za polisi unaona ni sahihi? sipati picha how stupid you are?
 
nashangaa umejifanya kipofu. kule kwa lwakatare unasema imekuwa fabricated ile cd ila huku kwa polisi kitu ambacho ni rahisi kuvaa nguo za polisi unaona ni sahihi? sipati picha how stupid you are?
It's very hard to pinpoint who is behind these tortures exactly, but if CDM are involved, it would be such a dumb move for their movement.

But if I am to follow my guts i don't think CDM are involved directly from the top, but indirectly viongozi wa CDM bado hawajajua mapendikizi wao wote ndani ya chama it could be a planned assassination of the party.

What do i know about party strategies, however the message is clear maana kama kuuawa kwa wapigaji akuwatishi wapigania uhuru that is part of the price most understand.

Hila habari za kutoana kucha,kutoboana macho na kutoana meno bila ya sindano za ganzi, the message is clear for freedom fighters its not about the gunshot and quick exist, but imagine the pain whilst we let you live.

Ndio maana siamini kama CDM watakuwa wapumbavu hiyvo if they aim to create chaos, hila bado hawajajua mapendikizi ni akina nani within. Binafsi siku zote naamini CDM imefika mbali sana kuelimisha watanzania, lakini Mbowe na Slaa haven't got the wit to move the party forward. Thats my view and I am entitled to it.

by the way, we mtoa kucha kama umepita humu mimi simo kwenye siasa.
 
Kuna hatari ya kuzuka kikundi kitakachoingia msituni ili kung'oa tawala dhalimu cjui ni msitu upi ila tusiombe JWTZ wakawinda JKT na FFU wakawawinda Mgambo tutakufa sana.

misitu yote haina miti kwa kutolinda mazingira uitoa labda pale selander bridge na ile mikoko inayolindwa...jamaa zako wa msituni wanaweza kuanzia harakati na chokochoko zao pale.
 
Polisi wanawinda watu; watu wanawinda polisi; wanasiasa wanawindwa na polisi; polisi wanawinda wanasiasa; watu wanawindana; wanasiasa wanawindana; waandishi wa habari wanawindwa; waandishi wa habari wanawindana; Zitto anawindwa, Msacky anawindwa, Kibanda anawindwa, Mwigamba anawindwa, kila mwandishi anawindwa. Makundi ya Urais ndani ya vyama vya siasa yanasababisha watanzania wawindane. Njama zinapangwa kuwawekea watu dwa za kulevya na kuwateka, watu wanamwagiwa tindikali na hata huenda wanapigwa nondo vichwani. JF tunawindana! Nchi imejaa wawindaji na wawindwaji sasa ni timing kama ya kumuua kobe ukichez uanamwagiwa tindikali, unapata ajali, unang'olewa meno, unang'olewa kucha hata kung'olewa macho.

Eee mola tunusuru tuipite salama 2015 manake naona mateso yanainyemelea nchi.

kimbarii inatunyemelea tukivuka 2015 salama tumshukuru mungu
 
Back
Top Bottom