Zitto awaunga mkono UKAWA

Zitto awaunga mkono UKAWA

Zitto anakuwaga smart sana kwenye baadhi ya topic
 
Toka lini alikuwa bungeni akatoka au akapinga kitu au akaandamana kwa ajili ya umma!? Aache kujishebedua wanaume wafanye kazi yao!
 
asubuhi alisema ukawa ni wasaka tonge halafu jioni anajiunga nao. Alishasema usimwamini mwanasiasa yoyote. Tafakari chukua hatua. Upande mwema upande mnafiki.
kijana nadhani pia unayakumbuka maneno ya chadema 2010 kuwa cuf ni ccm b na mbatia ni pandikizi la ccm.....lakini leo cuf wanaunda ukawa pamoja na mbatia....sasa nani mjinga hapo kama sio chadema?
 
leo tena si wasaka tonge!? huyu msaliti banaa ana vituko vya hali ya juu. Hajitambui kabisaaaaa
kijana maneno ya chadema 2010 dhidi ya cuf unayakumbuka?...dhidi ya mbatia unayakumbuka?......hapo nani msaliti kama sio chagadema?
 
Anasaka kura kwa lazima kupitia mgongo wa ukawa ni mnafiki tu
 
kesho inawapasa wabunge wote machachari kuwepo bungeni akina sugu, lema, kafulila, mbatia, mbowe, halima mdee, ester matiko n.k ili kuendeleza msimamo wa upinzani bila hivyo miswada hii itapitishwa hivi hivi kwa maslahi ya wachache

Hivi sugu na lema ni machachari
 
Asubuhi alisema Ukawa ni wasaka tonge halafu jioni anajiunga nao. Alishasema usimwamini mwanasiasa yoyote. Tafakari chukua hatua. Upande mwema upande mnafiki.

ZZK muelewa huwaga hapingi kila kitu penye kuunga mono anafanya ivo
 
TUKIHOJI maneno ya wanasiasa majukwani nazan wengi wao wanasiasa ni VIGEUGEU.
 
UKAWA wametekeleza agizo ama ombi la Zitto kwenye miswaada hii
 
Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo ameunga mkono msimamo wa UKAWA, baada ya kuzuia miswada mitatu inayohusu gesi na mafuta, amesema hata yeye angekuwa bungeni angefanya vile UKAWA walivofanya, kwani haoni uharaka wa kupitisha miswada hiyo, anasema mswada wa habari uliondolewa kwa vile tuu uliwahusu watu wenye uwezo, lakini miswada hii ya gesi inashindikana kuiondoa kwa vile tuu anayenyonywa ni mwananchi. SOURCE AZAM TWO HABARI

anatafuta tu kampani ya ukawa sauti kama chura yupo kwenye bwawa
 
kesho inawapasa wabunge wote machachari kuwepo bungeni akina sugu, lema, kafulila, mbatia, mbowe, halima mdee, ester matiko n.k ili kuendeleza msimamo wa upinzani bila hivyo miswada hii itapitishwa hivi hivi kwa maslahi ya wachache

Watafutwe popote walipo waingie mjengoni kwa lengo moja tu la kukwamisha msaada.
 
Back
Top Bottom