Zitto awaunga mkono UKAWA

Zitto awaunga mkono UKAWA

mwinukai

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2011
Posts
1,447
Reaction score
630
Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo ameunga mkono msimamo wa UKAWA, baada ya kuzuia miswada mitatu inayohusu gesi na mafuta, amesema hata yeye angekuwa bungeni angefanya vile UKAWA walivofanya, kwani haoni uharaka wa kupitisha miswada hiyo, anasema mswada wa habari uliondolewa kwa vile tuu uliwahusu watu wenye uwezo, lakini miswada hii ya gesi inashindikana kuiondoa kwa vile tuu anayenyonywa ni mwananchi. SOURCE AZAM TWO HABARI
 
Ngoja tuone kesho kitatokea nini baada ya watu kupigwa ban.
 
Asubuhi alisema Ukawa ni wasaka tonge halafu jioni anajiunga nao. Alishasema usimwamini mwanasiasa yoyote. Tafakari chukua hatua. Upande mwema upande mnafiki.
 
Sawa wakati mwingine tusimshambulie mtu tushambulie hoja yake katika gesi na mafuta
 
Leo tena si wasaka tonge!? Huyu msaliti banaa ana vituko vya hali ya juu. Hajitambui kabisaaaaa
 
Ngoja tuone kesho kitatokea nini baada ya watu kupigwa ban.

kesho inawapasa wabunge wote machachari kuwepo bungeni akina sugu, lema, kafulila, mbatia, mbowe, halima mdee, ester matiko n.k ili kuendeleza msimamo wa upinzani bila hivyo miswada hii itapitishwa hivi hivi kwa maslahi ya wachache
 
Pengo lipo na nijambo jema kukubali unapoona wezako wamefanya jambo jema nyie bavicha acheni siasa za majitaka hili taifa ni ketu wote hamna hati miliki ya taifa hili kuwa zzk kwa kuwa cio wenu hana haki yakuongekea maswala ya kitaifa acheni mawazo ya mgando hayo.
 
Hakuna pengo lolote lile, pengo mnaliona nyinyi vikaragosi vya mafisadi na wahuni ndani ya chama chenu maana nyeti mlizokuwa mnaletewa na huyo msaliti sasa hamzipati tena.
umeandika kikakamavu sana ! asante mkuu .
 
ZITO a.k.a whistle blower ameongea jema na mezungumza ukweli mtupu mtu atakayempiga
 
Back
Top Bottom